Kama habari ya icon kupendekezwa kuwa kwenye noti ni nonsense je, ya yule king wenu anayelelewa na mama kulilia sapoti ya media wakati yeye tu hajawafolo utahiitaje?????????? na sasa hivi ni full mabango ya Magufuli nifah Dinazarde pwilo, Shardcole hebu katembeleeni kwa king wenu muone mana mulisema oooh yeye haposti kitu kaamua kuwaonyeshea kabisa na yeye anasapoti kitu gani.
Uwe unasifia na Baba yako hata siku moja moja basi
Diamond ndio atakuwa wa kwanza.. Yule hta hvyo masuala ya race ndio yaliyofanya asiwekwe...
DIAMOND PLATNUMZ THE KING OF AFROPOP
Idioty nonsense! So what?
Duu kukaa na vipofu unatakiwa uwe jasiri
Heheheh
Hata Michael Jackson hakuwahi wekwa popote pale zaidi kaburini
Baada ya kuona hafatiliwi na mapaparazi na mashabiki wake kaamu kuonyesha ya Magufuli.