Diamond azidi kudhihirisha ukubwa wa jina lake


Baada ya kuona hafatiliwi na mapaparazi na mashabiki wake kaamu kuonyesha ya Magufuli.
 
Diamond ndio atakuwa wa kwanza.. Yule hta hvyo masuala ya race ndio yaliyofanya asiwekwe...

DIAMOND PLATNUMZ THE KING OF AFROPOP

Unawaudhi watu ujue? Kama nawaona wanavyosunya kwa hasira
 
Hapa mjini ni game ya Yanga vs simba, lowasa na magufuri huyo diamond ndo yupi kwani
 
Duu kukaa na vipofu unatakiwa uwe jasiri

Kweli kabisa mkuu kuishi na kipofu kama kibakuli yataka moyo, mwenyewe anajiona star maskini ya Mungu kumbe hana tofauti na mimi huku ambaye hata majirani zangu tu wenyewe hawanifahamu wote
 
Baada ya kuona hafatiliwi na mapaparazi na mashabiki wake kaamu kuonyesha ya Magufuli.

Alikuwa anaficha ficha hisia zake kwa kuogopa sifa za kijinga alizokuwa anamwagiwa na mashabiki zake uchwara, alivyogundua not even mashabiki giving him airtime akaamua kujilipua
 
Hii nikiiona itakuwa yapili kwa msanii wa bongo nlishamuona nakaaya cnn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…