Diamond azidi kudhihirisha ukubwa wa jina lake

Diamond azidi kudhihirisha ukubwa wa jina lake

Kama habari ya icon kupendekezwa kuwa kwenye noti ni nonsense je, ya yule king wenu anayelelewa na mama kulilia sapoti ya media wakati yeye tu hajawafolo utahiitaje?????????? na sasa hivi ni full mabango ya Magufuli nifah Dinazarde pwilo, Shardcole hebu katembeleeni kwa king wenu muone mana mulisema oooh yeye haposti kitu kaamua kuwaonyeshea kabisa na yeye anasapoti kitu gani.

Baada ya kuona hafatiliwi na mapaparazi na mashabiki wake kaamu kuonyesha ya Magufuli.
 
Hapa mjini ni game ya Yanga vs simba, lowasa na magufuri huyo diamond ndo yupi kwani
 
Duu kukaa na vipofu unatakiwa uwe jasiri

Kweli kabisa mkuu kuishi na kipofu kama kibakuli yataka moyo, mwenyewe anajiona star maskini ya Mungu kumbe hana tofauti na mimi huku ambaye hata majirani zangu tu wenyewe hawanifahamu wote
 
Baada ya kuona hafatiliwi na mapaparazi na mashabiki wake kaamu kuonyesha ya Magufuli.

Alikuwa anaficha ficha hisia zake kwa kuogopa sifa za kijinga alizokuwa anamwagiwa na mashabiki zake uchwara, alivyogundua not even mashabiki giving him airtime akaamua kujilipua
 
Hii nikiiona itakuwa yapili kwa msanii wa bongo nlishamuona nakaaya cnn
 
Back
Top Bottom