Nyabhakangala
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 841
- 793
imebidi niangalie vzr avartor yako leoBei nzuri na sio ya bei kubwa, wengi wataweza kununua.
imebidi niangalie vzr avartor yako leo
u r ver cute!Ukaionaje na kusoma nini!?
Ningeambiwa na nani? Wewe? Maanake hapa wewe ndio unamsema huyo jamaa ananuka kwapa. Vita yenu unaileta mitandaoni kwakujificha, jitaje wewe ni nano ili upambane vizuri na unaemsema.Mnuka Kikwapa ni yeye, mimi ningekuwa nanuka kikwapa ungeambiwa tu.
Ningeambiwa na nani? Wewe? Maanake hapa wewe ndio unamsema huyo jamaa ananuka kwapa. Vita yenu unaileta mitandaoni kwakujificha, jitaje wewe ni nano ili upambane vizuri na unaemsema.
Well, nishakaa nae sehemu mbili tatu sikuhisi hicho kikwapa.Siyo humu tu, hata huko mtaani mbona watu wanamjuwa jamaa ananuka kikwapa?
Kasumba inakusumbua bae wangu.Jina mhhh,bora hata angeiita Diamonds
Well, nishakaa nae sehemu mbili tatu sikuhisi hicho kikwapa.
Bifu lako na bashite usitushirikishe sisiWatu wanatoa ushauri unasema hater kweli watz kuendelea ngumu lazima asikilize ushauri ukitaka kufanikiwa kukosolewa ndio kujirekebisha haikuwa na sababu ya kutoa wimbo wa bashite labda huna knowlege ya market zero brain
Bifu lako na bashite usitushirikishe sisi
Haha..kuna ukweli flani, tumezoea vitu flani hiviiKasumba inakusumbua bae wangu.
Kwa asilimia kubwa hutopata mrejesho ambapo ni utakuwa upo sahihi kwa sababu ya Utimu, maana kuna timu fulani hata kama Dai perfume ni nzuri ila wao wataponda kila kitu, na kuna timu Dai amabao hata kama perfume sio nzuri ila nao lazma waseme imesimama so solution ni bora wewe ukanunue ili ujue ina quality nzuri kulingana na gharama yake au la.Habar za mida hii wadau?
Kwa faida ya umma naomba ambao wametumia haya manukato/marashi ya chibu watupatie mrejesho sahihi.
Nimeona baadhi ya wana jamvii humu wamekua wameiponda bila kuwa na ushahidi thabiti.
Kuleta mrejesho kwa kunusa harufu kutoka kwa mpita njia tu si sahihi.
Zaidi unapoiponda bidhaa ambayo ujainunua ni kuaribiana biashara.uwezi jua umempeperushia wateja wangapi na sio jambo jema