Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

"It took me years to make the whole world to be in a small bottle"
Perfume imeandikwa maneno hayo!
Hiyo statement kwa mtu muelewa inashida kubwa sio bure !
LMFAO!!
 
Usawa huu wa magu mbona kazi anayo

Kama target yake ni soko upande wa kina mama anaweza kupumua kidogo, sidhani kama wanaume wanaweza kupitia trouble zote za kutoa misimbazi 10+ kua na perfume Lina jina chibu
hahahahaaha
images
 
Back
Top Bottom