Kumbe na ID ni mpya na umeifungua hii account special kwa ajili ya tukio hili, dah watu kazi mnayo wewe sio bure, account hata week haijamaliza, ebwaaana weweeeeeeeeeeeeee
Acha chuki binafsi basi ndg, maisha hayapo hivyo, kuna uwezekana hata hao walioweka negative comments kuhusu huyo mwanamziki (Diamond) mliwaandaa nyie na kuwalipa kwa kazi hiyo.
Pole Watanzania sio mbumbumbu kiasi hicho hadi wadanganyike kirahisi namna hiyo