Diamond azungumzia picha ya Zari akipigwa denda na dume jingine


Diamond anadai hayo ni masuala ya kazi kwani yeye pia anaonekana na wadada wengine kwenye mapozi tata, hivyo ameipotezea.

Ila kwani Zari sasa hivi ni msanii?

Zari ni msanii kabla ya Diamond.

Pengine Zari alipoanza usanii Diamond alikuwa bado anajinyea-nyea.
 
we mleta mada acha kuunga stori, hii picha ni zamani saaana hata kabla dai na zari hawajawa wapenzi
 
Huyu nae atakuja kufunguka kama Nuhu Mziwanda tusubir
 

Diamond anadai hayo ni masuala ya kazi kwani yeye pia anaonekana na wadada wengine kwenye mapozi tata, hivyo ameipotezea.

Ila kwani Zari sasa hivi ni msanii?

Kwani kasema Zari anafanya kazi ya usanii?

Au ni kazi nyingine!
 
huyo ndo baba wa hao watoto ambao domo anajua wake!kidume kweli hawez kuchukulia poa ngozi yake iliwe mate njenje hivyo!
 
Ila katika mabwana wa zari huyu mwanaume ni mbaya jamani mmmh....
zilipendwa kafanana na bilinganya kwa mbali
Daaa !! Unajua hyu jamaa tumefanana naye sana,hivyo haya maneno uliandika utafikiri umeniambia mimi, mungu anakuona ujue[emoji17] [emoji25]
 
wanayoyafanya wasanii yote yapo katika jamii sasa sijui wewe ulitaka waigize nini
 
Ila katika mabwana wa zari huyu mwanaume ni mbaya jamani mmmh....
zilipendwa kafanana na bilinganya kwa mbali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Kipato huleta majivuno ipo siku ataelewa somo
Waswahili wanasema kwisha kupo
 
Mtalaka hatongozwi.Tunakulaga.
 
Hiyo picha ya kitambo.

Huyo jamaa alikuwa mwanaume wake wa 18 toka aanze mchezo mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…