Diamond azungumzia ugomvi wa Zari na mama yake na michepuko

Yaani tena mama yule daimond alipaswa awe km piriton maana si kwa shida alizopata mama yake!

Leo from no where hawara anigombanishe na mzazi wangu?!!!!

Mjinga sana!hajui km yake mafanikio bi Sanura ndiyo anamsafia nia kila Siku!
 
Yaani tena mama yule daimond alipaswa awe km piriton maana si kwa shida alizopata mama yake!

Leo from no where hawara anigombanishe na mzazi wangu?!!!!

Mjinga sana!hajui km yake mafanikio bi Sanura ndiyo anamsafia nia kila Siku!
Atakua hajui nguvu ya kujibana na maombi ya mama yake.... moyo wa mama yake ukichanua na yake lazima yamnyookee

Nje ya mada; sikujua kama IG kuna mpaka midume inajiuza....aisee nilikuwa nasoma comment kwenye picha za huko nikashangaa midume inajisifia na kuhamasisha wanwake wawadm[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenikosha na out of topic..

wapo wengi sana IG sasa hivi ni kijiwe cha kujiuza kwa ke na me!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…