Diamond, Bob Junior wajibizana viobaya!

Diamond, Bob Junior wajibizana viobaya!

idawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
25,284
Reaction score
38,364
diamondi amwambia bob kwamba anafaa kuwa mcheza shoo wake, bob amwambia diamondi anafaa kwa udalali sio mziki.! Habari zaidi Shafii dauda blog.
 
Wote hamnazo tu wanashindana kupaka powder!
 
Wote hamnazo tu wanashindana kupaka powder!

hawa jamaa wajinga sana,watambiana mademu kuvaa vizuri.wanahitaji washauri kwa faida yao.
 
Diamond aache kiburi cha hela, mbona kuna matajiri kibao Bongo hawana tabia za kujishaushau hovyo, ni utoto au ndio maskini akipata...!
 
lakini ni kweli Bob Junior anafaa kuwa mcheza shoo wa Diamond, maana anakatika na zile skin jeans zake za kike!
 
Mtu wa kwanza mjinga ni blogger,,,,hamna la maana pale
 
Diamond mchizi wa ukweli sana uyu dogo,ajiskiii kabisa,hana dharau...tofauti kabisa na mnavyomchukulia....au labda kama unamchukulia kama unavyomuona kwenye TV....Ila uyo Bob Junior ana mambo ya kidemu sana,yani jamaa ana mambo ya kike kabisa...anafosi kinoma kushain sema ndio ivo ana damu ya kukubalika,so mwenzie anapong'aa inamuuma sana....


Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume??? Hebu jichungulie kwanza, labda pia huna jinsia.. Mi nimeshindwa kukujua.. Kutokana na ID yako nlitaka ntupie maneno ila ulichoandika kimeni'step back!
 
Diamond wa kweli,ajiskii wala hana dharau.....ila uyo Bob Junior ana mambo ya kike sana,na ndio maana ana tumia nguvu nyingi sana kung'aa lakini hashain..
 
Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume??? Hebu jichungulie kwanza, labda pia huna jinsia.. Mi nimeshindwa kukujua.. Kutokana na ID yako nlitaka ntupie maneno ila ulichoandika kimeni'step back!

we unachoshangaa nini ***** wewe,kama umeshindwa kujadili Bob Junor mwenzio...kama una shida ya mwanaume ata mimi naweza kukutafutia...
 
Mimi naona blog iko vyema unafiki itaandika baya endapo upo ubaya jema km kunajema diamond hatakiwi kufokiria malumbano hata km tu dalili hizo zipo
 
Back
Top Bottom