Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond aache kiburi cha hela, mbona kuna matajiri kibao Bongo hawana tabia za kujishaushau hovyo, ni utoto au ndio maskini akipata...!
Maskini akipata.
Diamond mchizi wa ukweli sana uyu dogo,ajiskiii kabisa,hana dharau...tofauti kabisa na mnavyomchukulia....au labda kama unamchukulia kama unavyomuona kwenye TV....Ila uyo Bob Junior ana mambo ya kidemu sana,yani jamaa ana mambo ya kike kabisa...anafosi kinoma kushain sema ndio ivo ana damu ya kukubalika,so mwenzie anapong'aa inamuuma sana....
Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume??? Hebu jichungulie kwanza, labda pia huna jinsia.. Mi nimeshindwa kukujua.. Kutokana na ID yako nlitaka ntupie maneno ila ulichoandika kimeni'step back!
Dogo diamondi ndiyo anaaga gemu ya bongo flv
Wote hamnazo tu wanashindana kupaka powder!