Diamond: Bora nife kuliko kumrudia Wema

Wema IQ yake ndogo saaana. Kikubwa kwake ni wanaume tuu
 
Baba ubaya vibaya hvyo ujue? Mi roho inaniuma tu jinsi ulivyommanua mtoto wa watu mpaka sasa ivi mnato hana

Watu mnachekesha.... hongra jf kwa kuondoa stress za watu
 
Aah,! Hapa unamwonea bure, baba kijacho alikuta spring zote zimekatika na wala meter haisomi kabisa.
sku iz bibie ana mnato wa china nasikia centigrade mpaka 100 ukitumia.Ila mikansa nje nje

Jmn inatosha basi mnatupasua mbavu
 

Hahahahhahahhahahhahahahah... warumi unafaa kuwa msanii wa kuchekesha
 
Nilickia yupo na ommy dimpoz thts y kuna bifu kati ya dimpoz vs dangote. Charty, Dinazarde na nifah mtujuze atiiiii
 
Nilickia yupo na ommy dimpoz thts y kuna bifu kati ya dimpoz vs dangote. Charty, Dinazarde na nifah mtujuze atiiiii

Hilo bado halijawa confirmed maana Dimpoz alikataa.Kama kuna kitu mbona tutajua tu?
Wewe subiri bongo hii hakuna siri.
 
Hahahahhahahhahahhahahahah... warumi unafaa kuwa msanii wa kuchekesha

Kabisa kabisa! warumi ni comedian mzuri sana.Mimi hua nacheka hadi kichwa kinauma!
 
Last edited by a moderator:
Wote hao mazingifuri warudiane wasirudiane sisi inatuhusu nini akae tu na mama yake mzazi zari dume lina domo kama choo lol kweli wema na wewe jitambue sio mwanaume huyo subiri na huyo zari amchoke usikie lol
 
Wote hao mazingifuri warudiane wasirudiane sisi inatuhusu nini akae tu na mama yake mzazi zari dume lina domo kama choo lol kweli wema na wewe jitambue sio mwanaume huyo subiri na huyo zari amchoke usikie lol

Pumba

Wivu.com
 

Nadhani sasa wakati wa "kufa" umewadia.
 
hili kaburi mlilo lifukuwa ni la hayati MWALIMU JULIUS NYERERE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…