Diamond: Clouds wameanza kushika adabu sasa.

Hamna akili pale he is nothing usimpaishe msieeeew
 
Mwaka jana kulikuwa na ubunifu gani ambao mwaka huu hamna??
 
Zaidi ya wanamuziki 30 wanatarajiwa kushiriki katika tamasha la fiesta linalotarajiwa kufanyika Novemba 24 mwaka huu kwenye Viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Kamati ya Maandalizi, Gardner G Habash, alipokuwa akizungumzia tamasha hilo.

Habash amesema mpaka kufika leo wasanii 30 tayari wamesajiliwa na wengine bado wataendelea kuwasajili hadi siku ya Jumamosi asubuhi.Akielezea mafanikio ya tamasha hilo tangu lianze amesema anashukuru limekuwa la mafanikio ikiwemo kupokelewa vizuri katika kila mahali walipopita.

Pia, wasanii amesema wamekuwa wabunifu tofauti na huko nyuma na pia wamekuwa wakiishi kwa kushirikiana na kupendana.Kaimu Mkurugenzi wa Masoko wa Tigo wadhamini wakuu wa tamasha hilo, William Kapinga amesema kiingilio katika tamasha hilo ni Sh15,000 kwa watakaolipia getini na Sh10,000 kwa watakaolipa kwa tigopesa.

Wakati wale watakaotumia usafiri wa Uber kwenda katika tamasha hilo na wakati huohuo wakiwa wamelipa kwa tigopesa watapata punguzo la Sh5000.Akizungumza kwa niaba ya wasanii, Joh Makini, amesema wakazi wa Dar es Salaam wategemee mambo makubwa katika shoo hiyo kwani kila walipopita wameacha alama hivyo hata katika Jiji hilo watarajie mambo mazuri pia.
Kibamia iko zake kahama anapiga ngoma 3 tuu aje na aje remix na seduce me [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ..
 
Umenena
 
Daaaa..., ukiwa na Boss kama Diamond, IPO siku mkitofautiana utaacha kazi kutokana na Kichambo cha Masimango!!!
Kama anamlea dogo anaemkuna mama yake lazima utambua Domo amekulia uswazi
 
Kama mlezi wao ni huyo nawapa pole sana.. Halafu wajitahidi wasisahau, nyoka hana rafiki
 
Yani huyu dogo alitabiriwa toka 2011 atashuka kila siku anapanda tu ww siyo wakwanza
Hujaelewa nilichokiandika mimi simwongelei diamond naongelea haya mashindano ya redio na matamasha sasa nitamwongelaje diamond maana yeye kama msanii hakuna wa kushindana naye kwa sasa mimi naongela tamasha na ushidani wa hizi media
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…