Mkuu mbona hii haifanani na jeje ya mondi?
Mkui huko unamrudusha kwenye u underground. Hawezi kwenda kwenye award za CAF akapiga nitarejea au ukimwona!!! Na aina hiyo ziko kibao sl hizi kina mario nkNimemmis yule Diamond wa "Ukimwona", Nitarejea, Lala Salama, Mawazo". Huyu Diamond mpya sio aisee amefeli.
Mi nashangaaga sana. Miziki ya bongo wengi wana copy naija hawa hit. Sasa wajiulize kwa nini huyu anahit hata kama ka copy.Tulieni kidogo tufike 1M kwanza ndio mlete malalamiko yenu [emoji2]
Unataka ubunifu kutoka Mars au? Chema chajiuza kibaya chajitembeza...kama kucopy kunaleta mkwanja,nanyie kopini basi [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila yale matusi sasa kazid dah!!!Diamond nashauri apumzike kwa mda kidogo asome game kwanza kakosa ubunifu mana kama mashairi yale yale ya matusi nioneshe alichokupa mama kama inazama
Mi nashangaaga sana. Miziki ya bongo wengi wana copy naija hawa hit. Sasa wajiulize kwa nini huyu anahit hata kama ka copy.
Hata huu jojo hakukopi hiyo biti common sana
Sjukua mkuu. Nimepoteza mb zangu bureTatizo mkuu alietoa mada ni kondeboy fan..mimi hata sishangai akianza kuponda kazi za Diamond
Sent using Jamii Forums mobile app