Huyu jamaa amekuwa bingwa wa kucopy works of others (Artists) without agreements between both sides.
Kisheria hilo ni kosa na kiubinadamu lina mshushia kabisa credibility yake
kwa watu tuliokuwa tunamuheshimu.
Why always him kuanzia nyimbo aliyofanya na jamaa wa Zimbabwe sijui THE ONE na nyingine nyingi.
Kama anataka scholar's tumuelewe he is supposed to put citations and references where the work originated na sio kufanya plagiarism.
VIDEO YA LEO YA JEJE HE COPIED AND PASTED SOMEWHERE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Same here aiseeNimemmis yule Diamond wa "Ukimwona", Nitarejea, Lala Salama, Mawazo". Huyu Diamond mpya sio aisee amefeli.
na ametoa takataka nyingi kibao kweli tukianza na Sound,tukija na baba Lao zote mwaka huu na hazisikiki tena.To me. Ukimuona and i miss you ndo best kwangu.. Haya ya sasaiv ni matakataka tyuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
na ametoa takataka nyingi kibao kweli tukianza na Sound,tukija na baba Lao zote mwaka huu na hazisikiki tena.To me. Ukimuona and i miss you ndo best kwangu.. Haya ya sasaiv ni matakataka tyuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jeje maana yake ni Gentremen kwa Nigeria, sema jamaa anacopy mno siku hizificha ujinga I love u inajulikana everywhere je JEJE maana yake ni ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli. Maana hata mimi nimeenda kuview baada ya kuona mada hiiNyie ndio mnaofanya viewers za video za huyo dogo zipande huko mitandaoni
Hazisikiki wapi ?na ametoa takataka nyingi kibao kweli tukianza na Sound,tukija na baba Lao zote mwaka huu na hazisikiki tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
kupata viewers wengi huko youtube au kujaza watu huko kigoma sio kigezo cha kupata pesa mjomba elewa ilo usidanganywe endorsement ndo kila kitu wakina wizkid wanaingiza mtonyo mrefu kupitia starboy label wizkid alilipwa pesa ndefu na kampuni ya nike kutumia jina hilo kwenye brand zake we haujiulizi kwanini isiwe diamond tangia apatage ile kampuni ya vinywaji berare mpaka leo hajapata dili la maanaTulieni kidogo tufike 1M kwanza ndio mlete malalamiko yenu [emoji2]
Unataka ubunifu kutoka Mars au? Chema chajiuza kibaya chajitembeza...kama kucopy kunaleta mkwanja,nanyie kopini basi [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huyo Wizkid hapati deal kubwa kila mwaka.Ubalozi wa Belaire na Pepsi si haba kwani ni brand kubwa duniani.kupata viewers wengi huko youtube au kujaza watu huko kigoma sio kigezo cha kupata pesa mjomba elewa ilo usidanganywe endorsement ndo kila kitu wakina wizkid wanaingiza mtonyo mrefu kupitia starboy label wizkid alilipwa pesa ndefu na kampuni ya nike kutumia jina hilo kwenye brand zake we haujiulizi kwanini isiwe diamond tangia apatage ile kampuni ya vinywaji berare mpaka leo hajapata dili la maana
Pitia getoNapita tu
Mkuu elewa ilo endHata huyo Wizkid hapati deal kubwa kila mwaka.Ubalozi wa Belaire na Pepsi si haba brand kubwa duniani.
Hamna source kubwa ya mapato kwa msanii yoyote kama tours.Tours ya kwanza,alafu deal na digital platforms.
Mkuu bado nakwambia endorsement ndo kila kitu kwa msanii hivi vitu vingine wanavyoshoboka navyo wabongo ni kujifurahisha tu tena endorsement za maana sio sijui pepsi au voda ambao wanalipa sio juu ya mil 500 sasa kwa diamond si bajeti ya kulala hoteliniHata huyo Wizkid hapati deal kubwa kila mwaka.Ubalozi wa Belaire na Pepsi si haba kwani ni brand kubwa duniani.
Hamna source kubwa ya mapato kwa msanii yoyote kama tours.Tours ya kwanza,alafu deal na digital platforms.
Beyonce alilipwa dollar 50m na Toyota,beyonce show moja analipwa $2m,utakuta kwa mwaka ana show zaidi ya mia.
Haya ukimtoa Wizkid nani mwingine ana mkataba na Nike,ina maana na wao wazembe au hawafai.
Deal za maana zipi? Zitaje ukimtoa Wizkid kupata deal la maana nitajie mwingine?Mkuu elewa ilo end
Mkuu bado nakwambia endorsement ndo kila kitu kwa msanii hivi vitu vingine wanavyoshoboka navyo wabongo ni kujifurahisha tu tena endorsement za maana sio sijui pepsi au voda ambao wanalipa sio juu ya mil 500 sasa kwa diamond si bajeti ya kulala hotelini
Labda haufuatilii lakini wenzetu wanaija wanapata deal za maana kwanzia bilion na kuendelea pia wanaplatform za kuuzia nyimbo zao tofauti na sisi tunadowlod bure
Kingine nachokiona wasanii wetu wabongo wanapenda sifa tu nyimbo ndani ya masaa machache inafikisha mill 1 baada ya hapo video inaanza kwenda kama kawaida upata viewers halisj ndo mana hakuna nyimbo zenye viewers mil 100 bongo