Sasa hapo sample iko wapi?Wewe umeshindwa kutofautisha kati sample na identity ya muziki wa producer
hahahNdo mana nikasema hiyo ni pepsi Tanzania haihusiani na pepsi inayodhamini wachezaje wakubwa na ligi za ulaya
Hebu kunywa maji kwanza,sio kwa chuki hizo! hizo nyimbo zote ametoa mwaka jana !na ametoa takataka nyingi kibao kweli tukianza na Sound,tukija na baba Lao zote mwaka huu na hazisikiki tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha povu. Mwenye huo wimbo kasemaje? Au wewe ndio msemaji wake?Huyu jamaa amekuwa bingwa wa kucopy works of others (Artists) without agreements between both sides.
Kisheria hilo ni kosa na kiubinadamu lina mshushia kabisa credibility yake
kwa watu tuliokuwa tunamuheshimu.
Why always him kuanzia nyimbo aliyofanya na jamaa wa Zimbabwe sijui THE ONE na nyingine nyingi.
Kama anataka scholar's tumuelewe he is supposed to put citations and references where the work originated na sio kufanya plagiarism.
VIDEO YA LEO YA JEJE HE COPIED AND PASTED SOMEWHERE.
Sent using Jamii Forums mobile app
To me. Ukimuona and i miss you ndo best kwangu.. Haya ya sasaiv ni matakataka tyuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeonae mimi mwenyewe mmenitamanisha niingie youtube nione video yake alivyokopiNyie ndio mnaofanya viewers za video za huyo dogo zipande huko mitandaoni
umeongea ukweli ila ni kama unaukwepa ukweli pia. Unakataa vipi kuhusu endorsement kuwa na mamsaada katika uchumi wa msaniiesmsaniiemsanii especially wa kibongo..?Deal za maana zipi? Zitaje ukimtoa Wizkid kupata deal la maana nitajie mwingine?
Wewe Youtube unaona hela ndogo? Wakati Millard Ayo Kaajili watangazaji Tanzania nzima kwa ajili ya hiyo Youtube,ana gari la kurushia matangazo kwa ajili ya hiyo Youtube na kwa mwaka viewers wa Diamond na Millard Ayo wana karibiana.
Unajisifia kudownload nyimbo bure,alafu unataka Nike waingie mkataba wa kutengeneza nguo na Diamond,utanunua ww?Wakati dollar moja tu kutoa kununua nyimbo huwezi,je dollar 20 ya kununua T-Shirt (Starboy tshirt moja ni zaidi ya $20) ya Diamond utakuwa nayo.
Nike hawaingii mkataba tu hivi hivi wakati nyie mshazoea magumashi na kuseleleka.Wanaija kwanza kwao wapo wengi zaidi ya 200m,pili wametapakaa dunia nzima (UK pekee wapo zaidi ya laki 2),pili industry yao ipo matured kuliko yenu tatu wanasapoti wasanii wao kwa kununua nyimbo ndio maana una waona Itunes,Sportfy zipo Naija si huku Mdundo na Mkito zimetushinda ,tumezoea kuseleleka kupitia Bekaboy,Kidebway nk.
Sijakataa ila nimezipanga ktk order ya kwanza show,pili endorsement na mwisho digital platforms.Nilimshangaa zaidi alipoziponda Nike na Belaire kisa Wizkid kasaini na Nike.umeongea ukweli ila ni kama unaukwepa ukweli pia. Unakataa vipi kuhusu endorsement kuwa na mamsaada katika uchumi wa msaniiesmsaniiemsanii especially wa kibongo..?
ukiachana na show njia nyingine ya kutengeneza pesa kwa msanii wa kibongo ni hzo endorsement japo wanaopata ni wachache.
Nimemmis yule Diamond wa "Ukimwona", Nitarejea, Lala Salama, Mawazo". Huyu Diamond mpya sio aisee amefeli.
Umeonae mimi mwenyewe mmenitamanisha niingie youtube nione video yake alivyokopi
[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Swizzbeatz ni B class producer kama siyo C tena during his peak. Hana makubwa ya kujivunia kimuziki. His only claim to fame today labda kumuoa Alicia Keys.
Kufanya kitu KIPYA kwenye hii industry ni kama impossible. Utakuta unafany kilichowahi kufanywa na mwingine kwa njia moja au nyinginehuyo wizkid hiyo starboy amecopy kwa the weekend na ndio msanii ulimwenguni mwenye hakimiliki ya hilo jina, kwa hiyo kucopy ajaanza diamond tuh.
Swizzbeatz ni producer hovyo hadi anatakiwa apigwe marufuku kukaa mbele ya kinanda. Hizo beats huwa anaiba au kuwalipa watu na kama unataka kujua upeo wa kipaji chake sikiliza solo album yake "One Man Band Man".Wacha weee ,unaonekana si mfuatiliaji wa hiphop mtu kishafanya kazi mara kibao kina Jay Z,Eve,Nas,DMX,Beyonce,TI,Miss Elliot na wengineo wengi.
Husifanye masihala kufanya kazi na hivi vichwa vitatu,Beyonce,Jay Z na Nas tena mara kibao si swala dogo,yaani mshawishi bilionea Jay Z &Beyonce wafanye kazi na ww tena zaidi ya mara moja,yaani wanaacha biashara zao za mabilioni ya shilingi wanafanya kazi na ww,eti unamwita class B.
Swizz,Timberland,Pharell ,Dr dre,Scott Storch , hawa maproducer wa kipekee CLASS A ambao wana uwezo wakuji ID kupitia biti zao.
Jamaa naona anavyoona SBC Tanzania wanapouza brand za Pepsi anadhani Pepsi ni local....infact Ushirikiano na Pepsi Co na SBC kitaalamu unaitwa Franchisement...mtu anakuruhusu utumie brand yake kwa kuuza products zake..then mnagawana mapato....Wewe jombaa unaongelea ushabiki.... unasema Pepsi brand ndogo hivi unaijua Pepsi wewe! Pepsi iliwapa shavu Messi na mo Sarah na ikawapa mpunga wa kutosha, kwa hiyo wewe unaona nike ndiyo brand kubwa pekee? na kuhusu kupenda sifa huyo wizkid kwa Nigeria hkn wa kumzidi na huyo diamond anaweza akasubiri, nikukumbushe tuh mwaka jana mwishoni wizkid alifanya party iliyojaa wadada zaidi ya mia na alijisifu yeye ni mzee wa totooz. kingine wizkid ana watoto 3 ambao kila mtoto na mama yake, so usimuone mwema sana wizkid na umponde chibu
Akikujibu nitagcha ajabu hao ambao una dai wame copiwa nyimbo zao ama beats zao mbona hakuna hata mmoja alie jitokeza aka leta malalamiko kwamba kazi yangu ime ibiwa
we ni nani mpka g3ny3 zikupande uje kuleta huu uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya Jay Z,Beyonce,Nas,Eve,Miss Elliot nk na yupi anayujua quality ya biti au nani anayejua uwezo wa Swizz.Swizzbeatz ni producer hovyo hadi anatakiwa apigwe marufuku kukaa mbele ya kinanda. Hizo beats huwa anaiba au kuwalipa watu na kama unataka kujua upeo wa kipaji chake sikiliza solo album yake "One Man Band Man".