ma2mbo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 697
- 326
Kwanza nianze kwa kuweka wazi mimi ni die hard fan wa Diamond kutoka siku ya kwanza na Kamwambie yake. Tumekuwa tukitoa sapoti kwa kila hali kwa Diamond ambaye ni msanii wa mfano kwa taifa letu.
Ila kinachoendelea sasa mitandaoni kwa kweli sidhani kama kuna shabiki wa Diamond anakifurahia labda asiwe shabiki wa kweli, yani kifupi jamaa anaharibu kabisa image yake na muziki wake kwa ujumla na anatukera mno .
Ata kama uwe umeudhika vipi na maneno ya chinichini ya wapinzani wako haukutakiwa uripuke kiasi hicho... kwa kweli umetoa maneno mabaya sana ambayo hayafanani na Diamond. Uwa simkubali Ommy Dimpoz lakini maneno uliyomtolea ni makali sana kwa mtu kama wewe,
umetukosea sana mashabiki wako na mbaya zaidi Ommy kaenda kukumaliza kabisa kwenye interview Xxl kwani Yeye alienda kuucheza mchezo wake kwa akili nyingi akaiomba huruma kwa wananchi na mwisho wa siku wewe ndio umeonekana mpuuzi... Umeenda mbali zaidi unatoa post za majigambo ya kipuuzi kabisa mtandanon tena ukimuusisha Mungu dah unafeli sana sijui umelewa nini mwanangu!!
Naomba uchukue ushauri huu.
Tuombe msamaha mashabiki wako kwa utoto unaofanya sababu huyu sio Diamond tunaemjua na tunaemsapoti.
Angalia sana kuhusu huyo meneja wako Sallam ni jamaa mzuri kwenye biashara anaijua biashara ila sio mzuri kwenye PR, image anayotaka kukupa sasa hivi sio yako. Diamond ni mpole very innocent asiyependa ugomvi mwenye adabu hiyo ndio image yako sio hii anayokuingiza Sallam.
Sielewi kwa nini Sallam ndio sasa ana take over! Fella yuko wapi? anayaona haya? Kuwa makini sana na Sallam sisi wengine tunamjua toka Forest hill boma road mpaka akibeba pochi la Merei. Ni mgomvi, mpambe mpambe na mchonganishi kwake kuwagombanisha watu sio ishu kubwa.
Linda sana biashara yako biashara yako inategemea image yako kumbuka unayo kampuni Wcb na kuna makampuni yameweka pesa kwenye image yako so chunga sana hao unaowapa kick hawana cha kupoteza wewe una vingi vya kupoteza. Endelea kuwa yule Diamond mpole mwenye heshima kwa wote.
Mwisho kama ulivyonrudisha Kiba kwenye game sasa unamrudisha Ommy Dimpoz pia soon ataanza kushine, uhoni Kama unajitengezea wapinzani wasiokuwa na ulazima?
Diamond tuombe radhi mashabiki wako, futa upuuzi ulioandika mtandaoni achana na Ommy na Kiba usiwape ukubwa kupitia huruma za udogo wao kwako kutoka kwa watu unawapa kiki kubwa sana. Pambania Wcb isimame then msikilize sana Fella na msikubali Sallam awacontrol team nzima changanyeni na zenu kidogo.
Kumbuka kupanda ni kazi ngumu ila kushuka ni dakika mbili tu
ni hayo tu!
Ila kinachoendelea sasa mitandaoni kwa kweli sidhani kama kuna shabiki wa Diamond anakifurahia labda asiwe shabiki wa kweli, yani kifupi jamaa anaharibu kabisa image yake na muziki wake kwa ujumla na anatukera mno .
Ata kama uwe umeudhika vipi na maneno ya chinichini ya wapinzani wako haukutakiwa uripuke kiasi hicho... kwa kweli umetoa maneno mabaya sana ambayo hayafanani na Diamond. Uwa simkubali Ommy Dimpoz lakini maneno uliyomtolea ni makali sana kwa mtu kama wewe,
umetukosea sana mashabiki wako na mbaya zaidi Ommy kaenda kukumaliza kabisa kwenye interview Xxl kwani Yeye alienda kuucheza mchezo wake kwa akili nyingi akaiomba huruma kwa wananchi na mwisho wa siku wewe ndio umeonekana mpuuzi... Umeenda mbali zaidi unatoa post za majigambo ya kipuuzi kabisa mtandanon tena ukimuusisha Mungu dah unafeli sana sijui umelewa nini mwanangu!!
Naomba uchukue ushauri huu.
Tuombe msamaha mashabiki wako kwa utoto unaofanya sababu huyu sio Diamond tunaemjua na tunaemsapoti.
Angalia sana kuhusu huyo meneja wako Sallam ni jamaa mzuri kwenye biashara anaijua biashara ila sio mzuri kwenye PR, image anayotaka kukupa sasa hivi sio yako. Diamond ni mpole very innocent asiyependa ugomvi mwenye adabu hiyo ndio image yako sio hii anayokuingiza Sallam.
Sielewi kwa nini Sallam ndio sasa ana take over! Fella yuko wapi? anayaona haya? Kuwa makini sana na Sallam sisi wengine tunamjua toka Forest hill boma road mpaka akibeba pochi la Merei. Ni mgomvi, mpambe mpambe na mchonganishi kwake kuwagombanisha watu sio ishu kubwa.
Linda sana biashara yako biashara yako inategemea image yako kumbuka unayo kampuni Wcb na kuna makampuni yameweka pesa kwenye image yako so chunga sana hao unaowapa kick hawana cha kupoteza wewe una vingi vya kupoteza. Endelea kuwa yule Diamond mpole mwenye heshima kwa wote.
Mwisho kama ulivyonrudisha Kiba kwenye game sasa unamrudisha Ommy Dimpoz pia soon ataanza kushine, uhoni Kama unajitengezea wapinzani wasiokuwa na ulazima?
Diamond tuombe radhi mashabiki wako, futa upuuzi ulioandika mtandaoni achana na Ommy na Kiba usiwape ukubwa kupitia huruma za udogo wao kwako kutoka kwa watu unawapa kiki kubwa sana. Pambania Wcb isimame then msikilize sana Fella na msikubali Sallam awacontrol team nzima changanyeni na zenu kidogo.
Kumbuka kupanda ni kazi ngumu ila kushuka ni dakika mbili tu
ni hayo tu!