ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
- Thread starter
-
- #21
Kwani wewe vipi??? Umelipwa kukomenti hapa?so what??? did they pay you for it?
Hii ndo Mida yake!Leo saa ngapi??? Maanaa???
Huu mwimbo unanikumbushaga mengi fulani. Naupenda pia sana
Mie pia naupenda sana pia unanikumbusha good times sehemu sehemu pamoja na hayo ni mzuri sana.
Naupenda huo wimbo pia
Hadi raha
Umeniwashia moto wa mtoko weekend hii nikaburudike na nyimbo ulizorusha.
DJ lazima aombwe
Enjoy mzurimie, hunishindi mimi kwa kuomba nyimbo kwa Madj, lakini wako Madj wengine wanajitambua anaweza akaunganisha debe 10 hadi 20 hata kutoka kwenye dancing floor hutaki. Ukitoka hapo shati chepechepe lol! si nimeenda kujirusha banaa tena kwa raha zangu sasa kwanini nikae kwenye kiti kama nimepigiliwa misumari!?
Hapo sasa, kweli ma DJ wengine wanajua haswaaaaa na wengi wasio na majina mjini wananishangazaga kwa mpangilio wao wa kutotaka kukaa no kubugi tuuu.
Nimegundua wanaojulikana kama mjini wanaongeza mbwembwe hadi inabidi washtuliwe au mtu huame kiwanja.
Mie ndio napenda hiyo pia mtu unaserebuka hadi unatamani usiku uwe mrefu wasifunge... Enjoy enjoy...
Hahahahahaha lol! Hapo kwenye rangi ndiyo zangu natamani wasifunge lol! Hasa kama debe ni kali basi hata majogoo yakiamka mie nataka kuendelea tu lol! Kujirusha raha sana banaa asikwambie mtu 🙂🙂🙂
Basi kama hujazoea habari za hivi hebu njoo huku.so what??? did they pay you for it?
Hao wamefulia sahv hawatampa kiki yoyoteTusubiri kuiona na kuisikia nyimbo tulio kuwa tukiisubiri kwa Takribani mwaka Mmoja sasa! Ni ile collabo ya Diamond aliyo washirikisha akina psquare leo inaachiwa! Na yeye anasema kwenye kucheza waliachiwa wao akina peter na paul! Wale walio ulizwa kipindi kile kama wanamfahamu Diamond wakasema NO!
Mond anasema hii ndo best hit kwake! Kikubwa tuwe pamoja hapa
Hahahah!! Bora umemsaidia..Basi kama hujazoea habari za hivi hebu njoo huku.
Ifahamu sayari ya Jupiter au kama vipi njoo hapa. Vitu adimu kutoka Afrika.
Wanakera,kama wamelazimishwa vile.Hahahah!! Bora umemsaidia..
Hahahah!! Bora umemsaidia..
Domo ni nani wenuWanakera,kama wamelazimishwa vile.
Tusubiri kuiona na kuisikia nyimbo tulio kuwa tukiisubiri kwa Takribani mwaka Mmoja sasa! Ni ile collabo ya Diamond aliyo washirikisha akina psquare leo inaachiwa! Na yeye anasema kwenye kucheza waliachiwa wao akina peter na paul! Wale walio ulizwa kipindi kile kama wanamfahamu Diamond wakasema NO!
Mond anasema hii ndo best hit kwake! Kikubwa tuwe pamoja hapa