Diamond (Fresh/nyama) atakuwa kaguswa/kashikwa pabaya na Alikiba (Kipusa/kito/chuma)

Hivi kweli unaweza simama mbele za watu kuwambia watu Alikiba ana mzidi Duamond kimziki? Hahaha
Kama diamond anamzidi alikiba kimziki kwann anamdis kiba, hivi unaweza kumdis mtu ambae unamzidi kila kitu?? Mnajua sio kweli ila mnajitoa ufahamu tu kisa mahaba mlonayo kwa huyo msanii wenu wa taarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiba ni mwanasesere tu kwa Mond! Yeye akomae tu ni Sinderela!
 
Fresh tu. Mondi anaumiza watu vichwa. Hawapumui. Hahaaa
Mpaka hiyo mistari ya fresh inaandikwa mpaka inarekodiwa mpaka wimbo unatoka kuna MTU Fulani alikuwa halali kwa ajili ya king mpaka kashindwa kujizuia ila jamani kiba anamnyima usingizi diamond mpaka kamtungia taarabu mbili mfululizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata zikiwepo habari mia sawa. Lakini hizi thread za kutoa kichwani si bora uchangie kwenya mada nyingine, maana hii sio habari mpya

Wewe c ungeenda kuchangia huko kwenye habar zinazotoka mbinguni. Pita kimya kimya
 
Ushabiki unaleta upofu.....kuna mmoja ana jina kubwa kuliko uwezo wake,matokeo yake anashindwa hata kufanya show off ambazo husaidia kumbrand msanii sababu mkwanja mdogo,ni aibu kwa msanii kushindwa kutoka nje ya nyumba inayokusitiri kwa uoga wa kuonekana unaishi sehemu ya kawaida!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meneja wa Kisa kaomba apewe kiki ili arudi kama mnavyomuongelea.. mpeni hongera Dai kwa kumsaidia mwenzake.

Haiingii kichwani amuongelee tu.. hata kama naye kapata mpenyo wa kusema yake ya kumkana anayebambikia wmtoto.
 
Wewe c ungeenda kuchangia huko kwenye habar zinazotoka mbinguni. Pita kimya kimya


Point yangu ni kwamba, punguzeni hizi threads za kizwazwa, msinifikirie hii JF members wote ni mapunga kama wewe.
 
Point yangu ni kwamba, punguzeni hizi threads za kizwazwa, msinifikirie hii JF members wote ni mapunga kama wewe.

Mwanaume kamili hawezi ongea mipasho, kama mimi punga nipe kipumulio cha chini hicho nikichungulie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…