Diamond hajakosea ila kumbuka ulipotoka

Kitorondo ni ndege wamejaa majalalni, na ni nyimbo za ngoma maeneo ya pwani si lugha mpya labda huku kwetu bara
 
Pumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndo umefikiria mpaka mwisho?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi baba yake mzazi basi, kwani hao anaowasaidia wengine walimtunza wakati mdogo, baba ni baba hataiweje? Migomvi ya wazaz ye anaingilia, kwanza yaonyesha bi sandra mdomo mwingi ndomana welitengana na baba yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…