Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani wasafi sijui huwa wanaimba upuuzi gani.harmonize katoa wimo mzuri ila nenda kwenye mashairi sasa upuuzi mtupu . africa tutabaki nyuma tu
Tunga wako wenye ujumbe tuone hata chooni kwako kama utafikayaani wasafi sijui huwa wanaimba upuuzi gani.harmonize katoa wimo mzuri ila nenda kwenye mashairi sasa upuuzi mtupu . africa tutabaki nyuma tu
Kuliko alivopotea abdukibaWe unagundua leoo hilo...na mavoko nae tutampoteza sio mda yan
Hahaaa anashndwa kupta msaada hta kwa broKuliko alivopotea abdukiba
Kumbe elmagnifico!!! anaweza tu kama ataweza kurudiana na Wema na kuachana tena au we mwenzangu unaonajeThibitisha...
Yeye diamond alisema alitunga huu wimbo akiwa kwenye ndege anaenda Uingereza baada ya kuwa wamegombana na wema sepetu...
Hahaha kweli nyimbo nyingi alizotunga akiwa na wema safi sana kama lala salama, mawazo n.kKumbe elmagnifico!!! anaweza tu kama ataweza kurudiana na Wema na kuachana tena au we mwenzangu unaonaje
Nyimbo nyingi diamond alizoandika kipindi ana sepenga zilikuwa zimeshiba sana kuanzia melody hadi mashairi....kwa mfano kuna wimbo unaitwa kesho jamaa aliimba sana mule.....Hahaha kweli nyimbo nyingi alizotunga akiwa na wema safi sana kama lala salama, mawazo n.k
Naweza kukubaliana na wewe, Kuna pia Moyo WanguNyimbo nyingi diamond alizoandika kipindi ana sepenga zilikuwa zimeshiba sana kuanzia melody hadi mashairi....kwa mfano kuna wimbo unaitwa kesho jamaa aliimba sana mule.....
Unajiita mbishi na hujui unabisha nini.
Thibitisha...
Yeye diamond alisema alitunga huu wimbo akiwa kwenye ndege anaenda Uingereza baada ya kuwa wamegombana na wema sepetu...
Nikweli.mmmmhhhh
Mungu aliumba dunia mapenzi tangu na tangu
yashanipiga sasa sinabudi nielewe
siwezi kung'ang'ania maana sio fungu langu
japo ni shida ila, nitabaki mwenyewe
ohh ila, mpe shukrani kwa kuniumiza suraya
mwambie mi bado mahututi nauguza kidonda changu
na asisikie asilani, mwambie mapenzi mabaya
hata angali hai Kairuki asingetibu gonjwa langu
kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
sina amani nasaga rumba (rumba)
ohh unani dunda
sema chine tembee moyoo
unanidunda dunda (mamii moyooo)
sina amani nasaka rumba (oohh mimii)
ohh unani dunda
eeeeeeehhhhhhhhhh ukimuona
ukimuona ukimuona
ukimuona ukimuona ukimuona
we nenda mwambie marafiki, marafiki wabaya
tena wengi waongo, wala wasimdanganye
oya ni mashoga rafiki, oohh marafiki wabaya
oooohhhh oooohhh mmmmmhhh
tatizo mi bado, nilipoteleza nkakosa sipajui
mpaka akafunga virago, na akaamua kuondoka sitambui
ubaya, kinacho niumiza, maneno neno maneno
mara kwa ndugu rafiki, kwanini anawapa misemo
najaribu papasa, mbona kwa macho ataona chochote
ila ndo kutwa mikasa, na nazidi kuanguka, niokote
kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
sina amani nasaga rumba (rumba)
ohh unani dunda
sema chine tembee moyoo
unanidunda dunda (mamii moyoo)
sina amani nasaga rumba (ooohh mimii)
ohh unani dunda
eeeeeeehhhhhhhhhh ukimuona
ukimuona, ukimuona
ukimuona, ukimuona
ukimuona
Read more: Diamond - Ukimwona Lyrics | MetroLyrics