Diamond hakuwaza madhara ya kujiita Dangote

Dangote halisi ndio ana advantage kuliko dangote copy.
 
Team Kiba buana..!!!!!

hiyo nayo ni KOKORO..
 
diamond anaruhusiwa kutumia hilo jina hila hawezi kulisajili km jina la kampuni sababu tayari limeshasajiliwa kwahyo hawezi kulitumia kwenye mambo ya biashara.
 
Wenzetu wanajitambua
 
Sheria za kimataifa za majina hazimbani
 
Mbona kuna faru marehemu aliitwa John na kuna Rais wa nchi pia anaitwa John...huyu Rais hakufikiria madhara ya kujiita jina la faru?
 
Alijiita Dangote Baada ya jamaa kuingia bongo kuanza kuwekeza na amekua free ambassador up to now
Anajifanyaga afanyi kazi bure mbona anamtangaza dangote bila hata kupewa mia?na huyo dangote akiamua kumshitaki kwa kutumia jina lake bila idhini yake si ataenda kuwake wa watu huyo?
 
Nadhani wewe ndio unafikra ndogo kama pilton. Hivi haujui Dangote ni jina la kampuni brand name ya bidhaa, kwa hapa Tz Cement?

Ni sawa na leo hii Subaru ajiite a.k.a Toyota.
Mkuu unabishana na watu wasiojua nini maana ya brand,watakuumiza kichwa wao wanajua dangote ni kama majina ya huko vijijini kwao
 
Punguani huyo mtu mmoja majina kibao mara Diamond mara plantnum sijui chibu mara dangote yeye huyo huyo Simba wakati mwingine Rais wa waSafi jina lake halisi la Kwa mtogole mbona hajiiti Nasibu Ndomo
 
Messi ni worldwide name,dangote watu wengi walijua ni diamond
 
Vipi kama Dangote halisi akaamua kushtaki kwa jina lake kutumiwa na Diamond?
Kwa sababu kidunia, Dangote halisi ni maarufu kuliko Diamond.
Hawezi kumshtaki maana hakuna Dangote mmoja hapa duniani...

Issue hapa ni hiyo kumtangazia bidhaa zake bila ya kulipwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…