Acha ku undermine other people's intelligence,ni mawazo yake na namna yake ya kufikiri tena inawezekana we ndo unauwezo mdogo wa kufikiria
Yeye alichokimaanisha pale ni business matters na sio matumizi ya kawaida. Wale watu wawili wote ni business people na wapo kutangaza na kukuza majina yao hivyo haiwezekani kwa bidhaa/brand mbili tofauti kuwa na jina moja linalofanana,unafikiri marketing watafanya vipi?! Hivyo inawezekana mwenye jina halali akaweza kudai jina lake mahakamani ili aweze kumaintain soko la bidhaa zake, au hata kulinda jina lake lisije haribika
Mfano na maelezo ni mengi hayawezi tosha hapa ila inabidi uelewe hiyo ni business matters na sio matumizi ya kawaida,matumizi ya kawaida hata we zaa mtoto mwite Dangote,hawezi kufanya chochote
Kwa mfano kwanini mwanamuziki na mfanyabiashara Kylie Minogue alimpeleka mahakamani Kylie Jenner akitaka abadilishe brand name ya jina Kylie katika bidhaa zake? Akidai kwamba yeye ndo alitangulia kutumia jina hilo kama brand ya biashara zake na ukizingatia sasa hilo jina ni la kuzaliwa na sio a.k.a?