Diamond hakuwaza madhara ya kujiita Dangote

Diamond hakuwaza madhara ya kujiita Dangote

Acha ku undermine other people's intelligence,ni mawazo yake na namna yake ya kufikiri tena inawezekana we ndo unauwezo mdogo wa kufikiria

Yeye alichokimaanisha pale ni business matters na sio matumizi ya kawaida. Wale watu wawili wote ni business people na wapo kutangaza na kukuza majina yao hivyo haiwezekani kwa bidhaa/brand mbili tofauti kuwa na jina moja linalofanana,unafikiri marketing watafanya vipi?! Hivyo inawezekana mwenye jina halali akaweza kudai jina lake mahakamani ili aweze kumaintain soko la bidhaa zake, au hata kulinda jina lake lisije haribika

Mfano na maelezo ni mengi hayawezi tosha hapa ila inabidi uelewe hiyo ni business matters na sio matumizi ya kawaida,matumizi ya kawaida hata we zaa mtoto mwite Dangote,hawezi kufanya chochote

Kwa mfano kwanini mwanamuziki na mfanyabiashara Kylie Minogue alimpeleka mahakamani Kylie Jenner akitaka abadilishe brand name ya jina Kylie katika bidhaa zake? Akidai kwamba yeye ndo alitangulia kutumia jina hilo kama brand ya biashara zake na ukizingatia sasa hilo jina ni la kuzaliwa na sio a.k.a?
Mkuu, umenena vyema sana.
 
Dangote ni jina, na diamond katumia kama jina pia, kuna bidhaa yoyote ambayo diamond anauza kwa brand ya dangote? Hivi mbona mnashindwa kujiongeza? ni wapi ambapo Mondi katumia dangote kama brand? kwa hiyo na Mimi nikijiita dewji anaweza kunishtaki?
Kwa nini mnashindwa kutofautisha mambo?, kwa Mwanamuziki, jina lako ndio brand name yako, kwa mzalishaji, jina la bidhaa yako ndio brand name yako, kitendo cha Diamond kujiita Dangote, tayari ameji brand name, kwa jina la brand name ya bidhaa za Dangote halisi. Wake up fans, this is for the best.
 
Upatikanaji wa hayo majina uko tofauti, kwa case ya Diamond yeye alijiita on behalf of Dangote mwenyewe maarufu,hakufikiria jina tu as normal from any Dangote ambae hamfahamu au hakutafuta kwenye dictionary au Quran kama anavyoweza mtu kujiita mohammed bila kumaanisha mohammed trans au enterprise

Infact Dangote ni jina unique sio rahisi mtu kulifikiria na kuliita na ni vigumu kulifahamu bila kuwa na influence na sio jina kama la Mohammed,hivyo hapo inaonesha Diamond alijiita akimaanisha Dangote tajiri. Au we kabla ya kulisikia jina la Dangote kwa Diamond na Dangote Mwenyewe ulikuwa umewahi kuliskia? Au umewahi tena liskia kwa mtu mwingine? Ni sawa na kuskia leo mtu akijiita Kikwete moja kwa moja utarefer ni kwa sababu na ni baada ya kumfahamu mtu maarufu mwenye jina hilo Rais Kikwete,na sio kama utakavyo sikia mtu akijiita Mrisho hutawaza hata ni kwa sababu ni jina la Raisi Kikwete, tofauti inakuja kuwa Mrisho ni Jina common na Kikwete sio jina common
Umechangia vyema sana mkuu. Wanashindwa kupokea ushauri kwa sababu wamefunikwa na ushabiki. Wangeweza kuutumia ushauri huu kumshawishi Diamond ageuze makosa ya awali kuwa nafasi ya biashara, I mean atumike kwenye matangazo ya Dangote halisi. Kwa sasa ana mpaisha bila hata senti tano.
 
Ningependa mnikumbushe vipaumbele vitatu vya bwana Mamvi wakati wa kampeni zake mwaka jana.
 
well kujiita hivyo ndio mwisho wa upeo wake wa kufikiri...Hajakosea hata kidogo.
 
Unapokaa mbele ya TV na kuutangazia umma kuwa wewe ni a.k.a Dangote ili hali Dangote halisi yupo, na kwamba Dangote ni brand name ya products za Dangote, basi wewe ni sawa na Huawei kujiita a.k a Sumsung. Sijui unaelewa?

hata hatukuelewi, diamond kujiita dangote huwez fananisha na huawei kujiita sumsung coz wanatengeneza one product different to diamond.....
 
Vipi kama Dangote halisi akaamua kushtaki kwa jina lake kutumiwa na Diamond?
Kwa sababu kidunia, Dangote halisi ni maarufu kuliko Diamond.
Hatashitaki kwann, mbona jina moja kuwa na watu wengi ni kawaida tu, mfano john, john Paul, john pombe , john Evans etc,
 
Hapo sasa ifike mahala ukweli tuukubali ushabiki pembeni
 
Diamond a.k.a Simba a.k.a Dangote, hakuwaza kabisa madhara ya kujiita jina hilo (Dangote). Pengine hakuwahi kufikiria kuwa ipo siku Dangote halisi atakuja Tanzania na kuwekeza. Madhara yake ni kwamba alilitangaza na analitangaza jina hilo pamoja na bidhaa zake, ambapo kwa Tanzania ni Cement, bila hata ya kulipwa chochote.

Au vipi kama Dangote halisi akaamua kushtaki kwa jina lake kutumiwa na Diamond? Kwa sababu kidunia, Dangote halisi ni maarufu kuliko Diamond.

Chonde chonde wasanii na Wanamichezo wetu, achaneni na nick names zenye Vitambulisho vya watu hai.
Hakuna tatizo ,kwani anauza jina au Brand ya Dangote? wapo wengine hawana uwezo wakumilika hata laki moja lakini
unasikia anaitwa Tyson,Samora,Mengi,Messi,wache wajidai na wao japo kwa majina..
 
mkuu mbona umeangalia upande mmjo tu wa dangote laiti kama angeshtaki jina lake kutumiwa hivi hivi, Vipi je kama diamond naye akishtaki kuwa huyu jamaa kaja Tanzania na kuiba jina na kufungua kiwanda kwa Nina lisilo lake na kweli mcheza.kwao hutuzwa huoni kama diamond atakuwa sahihi, koz dangote kaja Tanzania nvhi si yake na kawekeza kwa jina la linalotumiwa na watt wawili
 
Kuna ubaya gani kujiita dangote?? Kila binadamu ana matamanio ya "kuidolize" mtu anayekuvutia.. Ndio maana wengi tu wanajiita majina ya wengine

Nas Escobar

Rick Ross - Rick Ross halisi mwenyewe alikuwa Don wa madawa ya kulevya

Jay Z huwa wakati mwingine anajifananisha na Pablo (Pablo Picasso)

Chid Benz aliita crew yake La Familia - La familia ni genge la uhalifu huko mexico.

East Coast Team

Etc etc etc mifano iko mingi


Alafu Dangote sio official a.k.a ya Diamond.. Ni jina la utani ambalo watu wake wa karibu tulimpa kutokana na mafanikio yake (mtonyo).. Mwenyewe akalipenda na kuliandika instagram na twitter.. But yamebakia hapo tu na si zaidi
Ndio maana huwezi kuona kwenye TV ikapigwa nyimbo yake alafu ikaandikwa "Chibu Dangote"
 
Upatikanaji wa hayo majina uko tofauti, kwa case ya Diamond yeye alijiita on behalf of Dangote mwenyewe maarufu,hakufikiria jina tu as normal from any Dangote ambae hamfahamu au hakutafuta kwenye dictionary au Quran kama anavyoweza mtu kujiita mohammed bila kumaanisha mohammed trans au enterprise

Infact Dangote ni jina unique sio rahisi mtu kulifikiria na kuliita na ni vigumu kulifahamu bila kuwa na influence na sio jina kama la Mohammed,hivyo hapo inaonesha Diamond alijiita akimaanisha Dangote tajiri. Au we kabla ya kulisikia jina la Dangote kwa Diamond na Dangote Mwenyewe ulikuwa umewahi kuliskia? Au umewahi tena liskia kwa mtu mwingine? Ni sawa na kuskia leo mtu akijiita Kikwete moja kwa moja utarefer ni kwa sababu na ni baada ya kumfahamu mtu maarufu mwenye jina hilo Rais Kikwete,na sio kama utakavyo sikia mtu akijiita Mrisho hutawaza hata ni kwa sababu ni jina la Raisi Kikwete, tofauti inakuja kuwa Mrisho ni Jina common na Kikwete sio jina common
Samahani lakini ila umeandika pumba sana, nani kakudanganya Dangote ni jina unique? Au tu unadhani ni unique?
na wala diamond hauzi bidhaa yake yoyote (mziki) kwa jina la Dangote bali ni Diamond platnumz, na mikataba yake official inaandikwa Nassibu Abdul A.K.A Diamond platnumz, what are you guys worrying!?
 
Samahani lakini ila umeandika pumba sana, nani kakudanganya Dangote ni jina unique? Au tu unadhani ni unique?
na wala diamond hauzi bidhaa yake yoyote (mziki) kwa jina la Dangote bali ni Diamond platnumz, na mikataba yake official inaandikwa Nassibu Abdul A.K.A Diamond platnumz, what are you guys worrying!?
Pumba kwako na sio kwangu,unaweza andika tu unachofikiri ukaniacha na yangu ninayofikiri,kwanza unaload taratibu sana,huoni hapo nimetoa mfano,unafikiri cjui kama anaitwa na anatumia jina lake la Naseeb au unafikiri kama cjui anatumia jina La diamond platinumz,nobody is worrying I'm aint no one's fan,get things clear in next time
 
Au labda alilipwa na Dangote ili aje amsafishie njia kabla mwenyewe kuja kuwekeza
 
Au labda alilipwa na Dangote ili aje amsafishie njia kabla mwenyewe kuja kuwekeza
 
Nacho jiuliza kwanini wasanii maarufu wa Marekani wakija kutalii Tanzania huwa hawa post chochote kwenye social media zao?

Wasanii maarufu wa Marekani walisha upanda mlima kilimanjaro na kwenda kwenye mbuga za wanyama kwanini huwa hawapost hata picha?

Tena acheni kumsumbua diamond
 
Mshamba tu huyo Mshikaji Wwe huoni ana achama mdomo watu waone meno yake kama sio mshamba tu mtto wambagala ni wambagala tu.
 
Back
Top Bottom