Diamond hana washauri?

wewe umepata malezi ya baba
wengine hatujapata
tunaona sawa tu, huwezi kumuonea uchungu mtu ambae hujui uchungu wake....
haiwezekani.. cjui nyie mliopata malezi nao
SIO SAWA Mie Sijapata Malezi Ya Mama Alitukimbia Nikiwa Na Miez Minne,,,,so Does That Justify Me Nt Helping Her Out When Im Succesful And She Is In Need Psshit Again SIO SAWA
 
Diamond..anafanya safi sana ivyooo.Ni Bonge la fundishoo.kwa wanaume wanaozalisha kisha kuendekeza Michepukoo Na kuacha watoto wakihangaika kwa kuuza ndizi Na biashara kichwani kwenye juaa Kali huku baba Yupo anapenda Raha akifuatwaa Ni matusi Na kipigoo..Tell you what???? Through Diamond many Dadies will learn how to care. Baba D..learn a lesson....God pays!!!
 
Basi kamsaidie wewe ka unaona mwamae ni hivyo. Kutoa misaada ni baraka, usisahau kututumia picha haswa zile utakazomkuta yupo poa sio ka za kuact ili awekwe magazetini.
 
Wacha apate fundisho huyo mla mirungi! Mtu umemkataa miaka yote lakini leo hii unataka care kulingana na mama yake aliye hangaika nae hadi alipo fika sasa...
 
Hivi huyu Baba Diamond alipo uza nyumba kariako kwanini alishindwa kupeleka hata Tsh kwa mama D ikasaidia malezi?
Huyu Baba acha anyooshwe ni mjinga sana.
 
Michepuko sio tatizo.....kuna wa2 wanamichepuko ila hom full raha mpka mke akiambiwa baba flan anakimada haamini.....huyo baba alikua na uwezo enzi zake saa hii kachoka kma teja kutumia waandishi makanjanja kumchafue chibu ila ndio anajimaliza mwenyewe.....istoshe lazma anawatoto rundo ila chibu ndio mwenye kisu
 
Ubaba sio kuweka mbegu tu na kukimbia..ubaba ni pamoja na kulea mtoto na kuhakikisha anatimiza ndoto zake!
Hivyo basi kama mama ndio alipigana..''mama yake ndio baba yake"
 
Iko hivi, kuna baadhi ya wazazi wakitengana halafu mmoja akabaki na jukumu la kulea mtoto peke yake, huamua kumjaza sumu kikwelikweli na kauli za vitisho kibao. Mfano: "ukimsaidia babako hata mia, zikupotee mia mara elfu. Yaani chochote utakachotoa, mara elfu nimesema kipotee" Hiyo ni laana. Na kama wewe nunda, jaribu kumpa huyo babako hata kwasiri kama hujaisoma namba. Na changamoto inakuwa kubwa pale ambapo huyo mtoto alipopata akili alikufuata kukuomba mahitaji kama daftari, nguo za shule, ada ukamtolea nje kwa kebehi na nyodo. Sasa basi, yakuambiwa na mama + aliyojionea = utanikoma siku nikizipata. Sasa mtoto kapata, baba unataka kubadili formula. Poa nimekusamehe fadha, haya chukua time, maana hakuna namna inabidi uchukue time tu. Malipo duniani, akhera hesabu tu.
 
wewe umepata malezi ya baba
wengine hatujapata
tunaona sawa tu, huwezi kumuonea uchungu mtu ambae hujui uchungu wake....
haiwezekani.. cjui nyie mliopata malezi nao
unaweza ukawa haupo mbali na ukweli,mana hata mimi nimelelewa na mama pekee na baba yupo hai mzima hadi saiv,nilimtafuta mwenyewe tuna mawasiliano hafifu,imagine neno baba halipo kwenye misamiati yangu mdomoni,me hii issue ya diamond siipi u-serious kivile na hainitouch sana.bado najaribu kufikiria mtu alikutosa ukiwa mdogo saiv umekuwa mkubwa na tajiri ndo umsaidie,anaweza kumsaidia kama binadamu tu lakini sio kama baba ambae utajisacrifice kwa ajili yake,na mwisho wa siku upendo haufosiwi yani ndo ipo hvyo tuu.
 
mkuu umeongea facts,kuna wengine hawajui situation ipoje kiuhalisia kwa sababu wao walipewa malezi na wazazi wote wawili,mimi nimelelewa na mama pekee,mama yangu anajiheshimu sana lakini amewahi kuwa bar maid ili sisi wanake tupate mahitaji,kifupi kahustle sana.dingi nimekuja kumtafuta na kujuana naye miaka mi3 iliyopita,lakini honestly sina upendo naye,hata nisipowasiliana miez miwili me naona sawa tuu.nahisi hata akihitaji msaada wangu ntamsaidia kwa nafasi yangu coz siwezi jisacrifice kwa ajili yake.ipo hvyo yani
 
wewe umepata malezi ya baba
wengine hatujapata
tunaona sawa tu, huwezi kumuonea uchungu mtu ambae hujui uchungu wake....
haiwezekani.. cjui nyie mliopata malezi nao
Baba anabaki kua baba kukusaidia au kutokusaidia hakuondoi uhalali wakutokua babako
 
M wa pili
me wa tatu,hata kuita hlo jina sijawahi na sifeel comfortable kabisa kumwita mtu yeyote (awe biological father au mtu mwenye umri na sifa nyingine za kuitwa baba) nawaitaga "mzee" mzee=baba.
 
Nahisi ugomvi wamama ameamua kuuhamisha kwamtoto hapa naona bimkubwa amempa jamaa kiapo asijarib kumsaidia mshua ila kitu nyuma yapazia
 
bushlawyer
Unachosema hakika ni sawa na ndio wajibu wa mtoto kwa wazee.
Ila mimi ninataka kujua zaidi juu ya nani mzee au mzazi kwa mujibu wa aya hizi na hadithi hizi ?
Tuchukue mfano wazee wawili wamepata mtoto na mara baada ya kuzaliwa baba mzazi anakimbia nyumba..haonekani na hataki kujua habari za mtoto wala mkewe . Miaka inapita mama anaolewa na yule mtoto analelewa anatuzwa anasomeshwa na baba wa kambo.....na yule mtoto anafikia kumwita yule ni baba ...na ndio mzee wake alembeba kumpeleka hospitali ...ndio mzee wake alombadilisha nepi za mkojo....Sasa suala hapa nani ni mzee...yule alotia tu shahawa na kutungisha mimba au huyu alopata tabu za kumlea mpaka akafika umri mkubwa?
Quraan inasema nini kuhusu hili? Au hadithi zinasemaje...juu ya tafsiri halisi ya mzee?
Tusimhukumu diamond ...moja kwa moja hali yake ipo kama hivo...tupate tafsiri sahihi ya nani mzee hapa au jee huyu ni baba? .. baba alijitokeza baada kusikia kuwa diamond ni mtoto wake na amekua almaaruf.
Huyu bado ni baba ?
 
Kutokamjali bado hakuondoi haki yakua baba hapa naona bi mkubwa kamzuia mond
 
mkuu umeenda nje sana ya mada,mzazi hakosei? kuna wazazi wanawabaka binti zao,je na wao hawakosei? sema mkuu umeongea mengi ya moyoni ambayo ni OP ndo tatzo.
 
Unafanya vyema utamtambua kama baba mana huwez nunua mwingine pia kama inaweza kumsadia mpe usimhukum japo hutampa favour kama mama nadhan atajutia mwenyew nawew utakua huna hatia kuliko kufanya kama mond ya hatakumtambua hatak hii sio sawa baba nibaba hatakama alitaka kukuua mungu atakulipia
 
Although mambo ya ngoswe kuitwa ngoswe tumuachie ngoswe mwenyewe lkn as per Islam, baba halali ni yule aliemuoa mama mtoto kabla! Nahisi kwa issue hii is not applicable sababu mama ndio ana jukumu na mtoto wake!
 
ahsante kwa speech nzuri mkuu@lakini tambua al-kisasu khak ni haki ya kila mtu kulipiza kisasi hakuna ubaya wa kulipa kisasi ktk dini@ kama alikutenga na wewe mtenge tu LAKINI sio alikutenga wewe ukampiga vita......ni khaki yake kulipa kisasi kwa uadilifu N.B vizuri kusamehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…