mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Jamani nini kinachoendelea clouds FM na wasanii wa fiesta? Wanakuwa promoted kupita kiasi, interview za kutosha , nyimbo zao zinapigwa kila saa, nyimbo zao zipo juu katika chati ya top 10. Ni kweli kuna upendeleo wa wazi kabisa.
Diamond nyimbo yake ya Salome hata katika top 20 ya nyimbo bora Clouds fm haipo, kidogo kidogo ndo ipo nafasi ya 17 inakaribia kuondoka. Nyimbo zake hata za Ali Kiba hazipigwi kwa wingi na wala hazishiki chati katika radio Clouds. Radio nyingine nyimbo za Salome, Aje za Ali Kiba na Diamond zipo chati za juu.
Kwanini mnapendelea, au mnataka kumshusha Diamond? Iweje nchi za nje na mtaani nyimbo za wasafi zinapigwa wakati wote na wala si katika kituo cha clouds, ambako wakina Maua Sama na darasa ndo wanashika nafasi za juu , na kina mboga saba. Hii ni aibu!
Kama nimekosea au mtazamo wangu unaegemea upande mmoja, nikosoe kwa coments na hoja kali, labda hili suala nalitafsiri vibaya.
Mungu Ibariki Tanzania mungu wabariki wasanii wetu wote, HAKI SAWA KWA WOTE
Diamond nyimbo yake ya Salome hata katika top 20 ya nyimbo bora Clouds fm haipo, kidogo kidogo ndo ipo nafasi ya 17 inakaribia kuondoka. Nyimbo zake hata za Ali Kiba hazipigwi kwa wingi na wala hazishiki chati katika radio Clouds. Radio nyingine nyimbo za Salome, Aje za Ali Kiba na Diamond zipo chati za juu.
Kwanini mnapendelea, au mnataka kumshusha Diamond? Iweje nchi za nje na mtaani nyimbo za wasafi zinapigwa wakati wote na wala si katika kituo cha clouds, ambako wakina Maua Sama na darasa ndo wanashika nafasi za juu , na kina mboga saba. Hii ni aibu!
Kama nimekosea au mtazamo wangu unaegemea upande mmoja, nikosoe kwa coments na hoja kali, labda hili suala nalitafsiri vibaya.
Mungu Ibariki Tanzania mungu wabariki wasanii wetu wote, HAKI SAWA KWA WOTE