Diamond humgharimu Tsh million nne kwa kila view million moja on youtube

Diamond humgharimu Tsh million nne kwa kila view million moja on youtube

isho_boy

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
2,145
Reaction score
1,892
Kutokana na hili sakata la kununua views uko YouTube na mtuhumiwa mkuu akiwa bwana msafi himself mond bin laden

Nimejaribu kufatilia apa jukwaa la celebrity jf kwa maelezo ya watalam wa ayo mambo wanassma kwa kila views 1000 unatakiwa kulipa kiasi cha us dollar 2 ambayo ni sawa na elfu nne za kibongo so ukijaribu kufanya calculation inakuletea kama million nne za kibongo kwa views 1M

Daah uyu jamaa inaonekana ana mkwanja kinoma kama izo hela zote humtoka kwa kununua view tu hapo hatujaangaliwa upande wa tuzo maana na uko nako nasikia c baba asa cjui kila tuzo inauzwa sh ngapi apo cjajua bado
 
Watabisha...watakuambia view m1 ananunua kwa Tsh.200 [emoji23][emoji23][emoji23]. .. diamond must be rich wallah.... ananunua views you tube, hapo kila wimbo una views above 6m+ ....bado za wasanii wake pia ananunua views .... wanadai tunzo ananunua....wanadai show ananunua pia....naskia wameaza kusema wale mashabiki waliokuwa wanaitikia nyimbo mayotte kawatoa bongo hadi mayotte ili wakanogeshe show. He must be the richest artist in Africa.
 
Ukipeleka video zako katika vituo vya kimataifa reference yao huenda youtube kuangalia views ulizonazo hio ni mtv base africa kama hauna fan base kubwa hawapigi video zako...mimi nadhani hio kununua viewers ni moja wapo ya promo mana promo ndo mziki wenyewe hata uwe hujui kuimba ukipigiwa promo watu watakukubali tu...
 
Watabisha Mkuu .

Watakuambia hana hizo pesa

Kama kweli ana pesa watakuambia mwambie aweke risiti hadharani.

Nyumbu wa CHADEMA ni sawa na Hawa Team Kiba

Akili ndogooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Sasa umeongea nini au buku 7 za Lumumba zishakuchanganya? Ni Ulofa wa kiwango cha PhD kuamini kwamba Diamond ana pesa kama mnavyosifia.
 
Mngekuwa Mnapoteza muda wenu kumzungumzia baash* wenu kiba.angekuwa mbali sana.
Ila mond anawawasha kila siku kila saa kila dakika kila sekunde
Kama mnataraji atashuka kwa kumuwaza huko mmechemsha.
 
Wazee wa kununua views khaaaaaa!! Sishtuki tena na views
 
Teh teh wabongo siwawezi, pesa za kununua views na tuzo anazo ila akinunua nyumba south mnabisha kuwa sio pesa zake na wala sio nyumba yake.
...Aliyeturoga kafa...
Hapa ndipo utakapoamini ule utafiti kuhusu ukichaa teh teh teh. Wabongo huwa hatujijui tunataka nini.
 
Kutokana na hili sakata la kununua views uko YouTube na mtuhumiwa mkuu akiwa bwana msafi himself mond bin laden

Nimejaribu kufatilia apa jukwaa la celebrity jf kwa maelezo ya watalam wa ayo mambo wanassma kwa kila views 1000 unatakiwa kulipa kiasi cha us dollar 2 ambayo ni sawa na elfu nne za kibongo so ukijaribu kufanya calculation inakuletea kama million nne za kibongo kwa views 1M

Daah uyu jamaa inaonekana ana mkwanja kinoma kama izo hela zote humtoka kwa kununua view tu hapo hatujaangaliwa upande wa tuzo maana na uko nako nasikia c baba asa cjui kila tuzo inauzwa sh ngapi apo cjajua bado
Lakini tukubali na tuweke wivu pembeni diamond anajituma na kama ni award anazopata kwa hapa tanzania ndo msanii wa kwanza anastahili hizo tuzo, kama ananunua ila hata kwa macho anastahili hizo tuzo.
 
Teh teh wabongo siwawezi, pesa za kununua views na tuzo anazo ila akinunua nyumba south mnabisha kuwa sio pesa zake na wala sio nyumba yake.
...Aliyeturoga kafa...
Ndo hapo sasa
 
Back
Top Bottom