Diamond humgharimu Tsh million nne kwa kila view million moja on youtube

Diamond humgharimu Tsh million nne kwa kila view million moja on youtube

Watabisha Mkuu .

Watakuambia hana hizo pesa

Kama kweli ana pesa watakuambia mwambie aweke risiti hadharani.

Nyumbu wa CHADEMA ni sawa na Hawa Team Kiba

Akili ndogooooooooooooooooooooooooooooooooooo
kwa oni kama hili lako unapata wapi ujasiri wakujiita Mwanaume?
 
Yaani mmeamua kwa maksudi kabisa kukesha mitandaoni kumtafutia kiki king wenu kupitia jina la Diamond!!!!!mwenzenu anatengeneza pesa nyie mnatengeneza majungu/fitina,mnajitekenye na kucheka wenyewe
 
Yaani mmeamua kwa maksudi kabisa kukesha mitandaoni kumtafutia kiki king wenu kupitia jina la Diamond!!!!!mwenzenu anatengeneza pesa nyie mnatengeneza majungu/fitina,mnajitekenye na kucheka wenyewe
Unajua nn mkuu hawa timu kiba ni watu ambao naweza kusema uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.....coz wakiambiwa domo kanunua nyumba south wanakataa ila wakiambiwa kanunua tuzo na views wanajaa
 
Unajua nn mkuu hawa timu kiba ni watu ambao naweza kusema uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.....coz wakiambiwa domo kanunua nyumba south wanakataa ila wakiambiwa kanunua tuzo na views wanajaa
Tafiti nyingi zimeshatanabaisha kuwa wa Tanzania wengi ni vichaa, hivyo hao wanaoibua na kuzitetea na wale wanaozipinga na kuzikataa wote wapo kwenye kundi moja la vichaa na wewe ukiwa mmoja wao.
 
For sure Diamond ni Fundi!Anajua nini anafanya! Over, nyingine Porojo tu
 
waacheni watu wafanye biashara, hata kama ananunua ndyo biashara yenyewe, wabongo bna tumebakia na majungu tu. muzk wa sasa sio wa zama za akina jay, muzk kwa sasa Ni zaid ya kuimba na kuwa na sauti nzuri... nyie bakien na timu sauti nzuri vs timu Pesa
 
That boy is doing a great job.....he sets an example...hate him or like him
 
Sasa umeongea nini au buku 7 za Lumumba zishakuchanganya? Ni Ulofa wa kiwango cha PhD kuamini kwamba Diamond ana pesa kama mnavyosifia.
Hahahah hana pesa lkn views ananunua dah..... views 1m ni Tsh 4m.... tuseme yy huwa anafanyiwa kwa 2m per 1m. Kajumlishe views za video zake zote youtube na za wasanii wake then njoo uzidishe kwa 2m.... this dude ana hela aisee coz hadi tunzo mnadai ananunua....hadi show ananunua....km vyote hivo ananunua kwann hamtaki kkubali kuwa ana hela nyingi za kumwaga kiasi hiki?????
 
.....ananunua mpaka mashabiki wanaolipa kiingilio kuingia kwenye show zake!
.....ananunua mpaka wateja wa kazi zake
.....Hata vodacom pia aliwanunua ili wampe ubalozi.
Kuna siku alitoa mchango halafu kiba akauzidi kwa milioni moja, sijui kwa nini tajiri kiba hanunui.
 
Biashara niujanja ndio maana anajulikana duniani saivi... Sio kama wengine unatoa nyimbo unaanza kusikilizia mashabiki... Pumbavu kabisa... Tangaza mziki wako ili ujulikane kimataifa na pia uitangaze nchi yako kwenye mataifa mengine....
Kweli mkuu, majungu wakati Jamaa anapiga hela, sasa waache wakalie majina ya kibwege Domo etc. Wakati mwenzao anatusua waache wao na vidomo vyao wakati wanashindia makande
 
Tafiti nyingi zimeshatanabaisha kuwa wa Tanzania wengi ni vichaa, hivyo hao wanaoibua na kuzitetea na wale wanaozipinga na kuzikataa wote wapo kwenye kundi moja la vichaa na wewe ukiwa mmoja wao.
Kweli.....
 
Hebu piga nillion 4 mara watu million 10 huyu dogo yuko na pesa balaa.
 
Kutokana na hili sakata la kununua views huko YouTube na mtuhumiwa mkuu akiwa bwana msafi himself mond bin laden

Nimejaribu kufuatilia hapa jukwaa la celebrity jf kwa maelezo ya watalam wa hayo mambo wanassma kwa kila views 1000 unatakiwa kulipa kiasi cha us dollar 2 ambayo ni sawa na elfu nne za kibongo so ukijaribu kufanya calculation inakuletea kama million nne za kibongo kwa views 1M

Daah huyu jamaa inaonekana ana mkwanja kinoma kama hizo hela zote humtoka kwa kununua view tu hapo hatujaangalia upande wa tuzo maana na huko nako nasikia c baba sasa sijui kila tuzo inauzwa sh ngapi hapo sijajua bado

Zingatia matumizi sahihi ya lugha yetu.
 
Nunueni na nyie tumeshachoka sasa,hamna lolote wivu tu wamaendeleo ya mwenzenu umewajaa
 
Teh teh wabongo siwawezi, pesa za kununua views na tuzo anazo ila akinunua nyumba south mnabisha kuwa sio pesa zake na wala sio nyumba yake.
...Aliyeturoga kafa...

Pengine huwaelewi hao unaowaita WABONGO, ni kwamba wanafanya hesabu zao na kuona ni kweli anapesa, lakini ni kweli anapesa zipatikanazo kwa njia halali na hasa kutokana na kazi yake?

Wale wataalamu wa masuala ya kodi wanasema, mtu alipaye kodi ya Tshs. 35,000,000 kama alivyosema; wanaweza kukwambia kipato chake. Je maisha anayoyaishi leo ni kweli kodi hiyo inaendana na kipato chake. Milioni 35 kwa mwaka kama kodi?

Hiyo 35ml ndo 18% ya mapato yake ya mwaka????? Au huwa wanalipaje kodi yao hao. Na wenyewe wana PAYE? Ni asilimia ngapi?
 
Biashara niujanja ndio maana anajulikana duniani saivi... Sio kama wengine unatoa nyimbo unaanza kusikilizia mashabiki... Pumbavu kabisa... Tangaza mziki wako ili ujulikane kimataifa na pia uitangaze nchi yako kwenye mataifa mengine....
Tanzania haijulikani ndio awe domo.. Uliza watu wanaoishi nje ya nchi
 
Back
Top Bottom