Diamond jiheshimu achana na Irene Uwoya atakuua

Status
Not open for further replies.

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Kama mdau kwenye sekta ya usanii napenda kutoa wito kwa mwimbaji mashuhuri DIAMOND KWA KUACHANA NA MAPENZI YA IRENE UWOYA.

PENGINE ANAHISI NI SIRI ILA BINAFSI KAMA KAKA NINAEMJUA NA KUMJALI MCHUMBA WAKE PENNY AAMBAE AMEKIRI ANAMPENDA NA ATAMUOA SIDHAN NI WAKATI MUAFAKA KUKIMBIZANA NA IRENE UWOYA.

NI MAJUZI NIMEMWONA KINONDONI NA HII N MARA YA PILI NAWAONA SEHEMU NYETI NAHISI WAKATI MUAFAKA KAMA UTAPATA UJUMBE HUU NAOMBA JIHESHIMU NA UMLINDE MWENZIO, SIO WAKATI WA KUGAIANA MARADHI YA MOYO.

HILI N WAZO UKIPENDA CHUKUA UKITAKA LIACHE!
 
Kama uamini mapenzi ya wasanii ayana maana zaidi ya kugaiana magonjwa muulze rich rich ameumwa mangapi kupitia huyo binti na leo hii una aibu kudai kwani uchi wa irene nani ameweka superglue ni ujinga
 
mweeeeee!!!!!!!nitarudi kusoma coomments za watu thankx mkongo umeshakaa sawa
 
Dah..Jamani sasa kumuweka public ni kumuumbua au kumshauri!?Huyo mchumbake akijua si tayari doa!?afu ukute su kweli..Ungemtafuta faragha ukamuonya kabla ya kumuanika public..Hivi kesho magazeti ya udaku yote ndio itakuwa habari ya mjini
 
Magazetibyataandika nini?

blue awa waanii wanasikithsa sana sana nawaonea huruma sana kwao kutembezeana libolo wanahisi starehe embu niambie diamond anajua uwoya anatembea na katembea na nani mpaka sasa bado anakimbizana sijui b** yake inatafuta nini angekuwa mwanamke ningesema wanachimba watu wakiamini kuna dhahabu sasa anyway n maisha walijipangia
 
Kwani wasanii wanao?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Dah..Jamani sasa kumuweka public ni kumuumbua au kumshauri!?Huyo mchumbake akijua si tayari doa!?afu ukute su kweli..Ungemtafuta faragha ukamuonya kabla ya kumuanika public..Hivi kesho magazeti ya udaku yote ndio itakuwa habari ya mjini

Mhhh...uchumba na ndoa za mastaa wa 'bongo wa kulewa'...utata mtupu! huyo Diamond amekuwa na wachumba wangapi mpaka sasa...!!!!!
 
Zamani nilipenda mziki usemao "Wewe wajifanya wajua ewe kaka, Unakuwa mwalimu wa mapenzi kwa watu, Mimi nakukanyaaaa, usiwe kidomodomo, utakuja adhirika we kaka" Sijui ka mziki hako kako wapi siku hizi????????

Mimi nimeuliza tu ka mziki niliko kapenda enzi zetu, siko kwenye mada
 
Asikushughulishe huyo kijana sio mtoto mdogo anajua baya na zuri,wapo wanaohitaji ushauri lakini sio yeye..
 

labda utupe data zaidi mkuu,kuwaona mara mbili kwenye sehem unazodai ni nyeti haitoshi ku-justify shutuma hizo.

ila kama ni kweli diamond na hata huyo uwoya waache hiyo tabia....ndo maana wasanii wengi wabongo wanan'gara kwa muda mfupi then wanaporomoka kwa kuendekeza ngono,badala ya muda huo kutumia kufanya ubunifu kwa ajili ya future yao kwny sanaa.
 
duh...dogo kashindikana, lakini ajue kuna mwisho wake
 
Shika hamsini zako, huna kazi?

msaidie kwanza ajirekebishe naondoka na mia kabisa ;mkuu siko kumsema ila ukikaanae anajua anachokifanya na mbaya zaidi n haya mahusianokuyatangaza hadharan alafu unakuja kufanya ufuska tabia chafu aijalishi na wewe kitombi ukiamua kujiheshmu jiheshmu utaheshmla every whr
 
mwacheni ajigegedee maana alikua anawaona kwenye magazeti tu yeye mwenyewe alishakiri hilo kua alikua hategemei kama siku moja atakuja kukaa sehemu moja au lala pamoja na mtu kama wema kwaniwalikua mastaa kabla yake
 
We ulimpima lini Irine?! Afu mbona unamshauri diamond tu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…