Diamond jiongezee ulinzi, una maadui wengi

Diamond jiongezee ulinzi, una maadui wengi

Yeah diamond wengi wanamchukia sijui kwanini,maana ameajiri na bado anaendelea kuajiri ko youth unemployment rate inapungua na kusolve tatizo la employment he is the king.

Ninachokiona mimi sio kama watu wanamchukia Diamond. Ukweli ni kwamba watu masikini hawampendi mtu yoyote mwenye mafanikio! Ukishakua na mafanikio tu unageuka kuwa adui namba moja wa watu masikini ambao ni wengi hapa nchini. Na hii sio kwa wasanii tu, bali hata kwa viongozi, wachungaji, wafanyabiashara n.k ukishakua na mafanikio ni kosa.
 
Ninachokiona mimi sio kama watu wanamchukia Diamond. Ukweli ni kwamba watu masikini hawampendi mtu yoyote mwenye mafanikio! Ukishakua na mafanikio tu unageuka kuwa adui namba moja wa watu masikini ambao ni wengi hapa nchini. Na hii sio kwa wasanii tu, bali hata kwa viongozi, wachungaji, wafanyabiashara n.k ukishakua na mafanikio ni kosa.
Kweli kabisa.
 
Diamond hana hadhi ya kulindwa,mshauri tu aongeze mabaunsa wa kupga nao picha tu,Hapa bongo hakuna mtu yeyote mwenye hadhi ya kulindwa hzo ni mbwembwe tu.
 
Hao alionao wanatosha sana
Akiongeza ulinzi atazidi kua maarufu na akizidi kua maarufu vi team chuki vitazidisha chuki
 
Akihitaji mabodyguard kutoka Gamboshi asisite kunitafuta.
 
Back
Top Bottom