Mtanzania ukishapa vijisenti hasa wasanii, kutwa nzima unawaza ujirushe na manzi gani! Huu ni umaskini uliokithiri... Mapenzi yenyewe ya kiduanzi tu, damn!!
FirstLady1 chezea jamaa ana dola za kwa Obama na anaendesha hammer ,mtoto gani wa kike mzuri akililess asiyependa maisha hayo haa haaa haaa.....nami pia nafuatilia kwa vidole vyangu na macho kwenye mitandao ya kijamii haa haa haaammmh yetu macho na masikio
FirstLady1 chezea jamaa ana dola za kwa Obama na anaendesha hammer ,mtoto gani wa kike mzuri akililess asiyependa maisha hayo haa haaa haaa.....nami pia nafuatilia kwa vidole vyangu na macho kwenye mitandao ya kijamii haa haa haaa
FirstLady1
chezea jamaa ana dola za kwa Obama na anaendesha hammer ,mtoto gani wa
kike mzuri akililess asiyependa maisha hayo haa haaa haaa.....nami pia
nafuatilia kwa vidole vyangu na macho kwenye mitandao ya kijamii haa haa
haaa
Kwataarifa yenu tu ...Jokate na Diamond hawakuwahi ku date..nimekua nikilisema hili jambo sana si tu kwakua na urafiki nao lakini nikitu ambacho media inashobokea lakin hakina umuhimu wowote..
VIpi wewe, una true love..???ha ha hivi Mwakalinga siku hizi hakuna true love tena??
maana haya mambo yanayoendelea ..na maisha ya warembo wa mjini kila mtu anataka aonekane yuko juu kama mawingu.Tabu kweli kweli.