Diamond kachoshwa na siasa na ahadi za uongo zisizo na tija za CCM

Mond kanyimwa shoo ya ikulu badala yake kapewa mzee wa masauti Christian Bella! Ndiyo anawatolea mapofu Serikali haha
 

Sasa si ungerudia maneno aliyosema hataki kylipa kodi au kasema halipi kodi...!!!!!!!
 
CCM sio KICHAKA cha wakwepa kodi, kama vipi na asepe zake tu chama kingine
 
Akaishi kwa kina Zari.

Wakati anatumika kueneza sumu ya propaganda ya Ukanda kwa wagombea wa upinzani alidhani ataishi nchi nyingine?!!! This is stupidity of its own kind.
 
Hii serikali ya ajabu kweli,nilishangaa pale nliposikia traffic police tanga wanakamata mpaka wenye Baiskel,lengo ni kupata kodi,kwani na jeuri zote haikujipanga kujua source zake za income?wananchi tutakoma.
 
Tumezoea vibaya sasa inapofika wakati mtu unaambiwa ulipe kodi unaanza kulia lia. Mbona wafanyakazi wanalipa kodi. Sasa kama mtu ana uwezo wa kutengeneza zaidi ya milioni mia kwanini asikadiriwe kodi?
 
Wacha aisome namba bana, yeye alidhani Namba itasomwa na wazambia au Warundi!? Namba inasomwa na woote tulio nje ya tabaka tawala.
 
Ilimuuma Diamond sana hadi kufikia kusema serikali isiwafanye wakahamia vyama vingine
Diamond mnatumiwa tu na hawa watu kwenye kampeni
 
Asipende kufanya ligi na dola atapotea, mara ya pili hii naona anaiongelea serikali negatively
 
Tunadanganyika wote pamoja na Mbowe.. Anatuletea mgombea Bandia na kudai atatuvusha ni dhambi kubwa kwa wana mabadiliko
 
Ahame tuu CCM ni kama JINI nyonya nyonya Tutanyooka tuu
[emoji89] [emoji102]
 
huko tunapoelekea hadi pumzi tutailipia kodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…