Maisha yamebadilika jamani.. Ndoa nyingi zinavunjika. vijana ambao wako kwenye umri wa kuoa/ kuolewa hawafanyi hivyo sasa.. wapo wapo tu.. taasisi ya ndoa imekumbwa na mkata kamba.. zile shamrashamra za kila kumbi kila weekend siku hizi pia ziimepungua mno mno