Ngoja tuone kitakachojirDiamond kimbelembele chake kitamponza tuyajue tusiyoyajua yanayomuhusu, don't mess with Gwajima/Mange. Tukutane kesho kanisani ufufuo na uzima
Gwajima hana muda mchfu wa kudeali ni vijitu vya kijinga kijinga.Simuhofu wala kumuogopa!
Wajinga ndo waliwao, ukija shtuka ushachelewa!Sisi wapenda ubuyu bila kwadithiwa tunawahi viti vya mbele. Hatutaki mambo ya YouTube. Tunataka kitu live. Hatutaki kuyasikia kwakina Mange cjui Lepumbuzi
Hata sisi tunajua hana lolote we hujiulizi kwa nini hadi mkuu wako nchi anamtafuta amuharibie jina usimuone mtu ukamchukulia poa yule sio mtu wa mchezomchezo.Gwajima hana lolote,ni wajinga na wale misukule wake kule kanisani ndiyo wanaomshadadia.
Mmmh!! Labda kuna ukweli. Kwasababu kama unapata riziki yako kihalali pasipo kutumia njia haramu huwezi kuwa na wasiwasi au kumuogopa mtu yeyote yule. Lakin kama unaogopa? Mmmh hapa ndio siwezi kukubishia Mkuu. Kuna kitu tuAskofu anaushahid wa namna ambavyo dai na utawala wake wanashirikiana na bashite esp ktk hii ishu ya roma mpka minute za kile kikao chao walichokaa kabla ya roma kupotea askofu atakua nazo hvyo dai lazma aogope maana anaenda kianikwa inside out a inaweza kupelekea dai kutengwa na maadui wa bashite kama alivyotengwa bashite kwa maana rafik wa adui yako ni adui yako by default
J2 sio mbali..Ngoja tuone kitakachojir
Na wakati huo huo Bashite alishasema j2 Roma atapatikana! ??????????????????????Bashite yawezekana ana kitu juu ya Domo kama alivyowakamata GSM
Huyo mchungaji nae anayo matatizo mengi tu, lakini jamii yetu inamrusha sana hewani.Nimeusikiliza wimbo wa Mondi na naheshimu maoni yake! Kuna waliopenda na kuna wasioupenda ila ni maoni yake na tuyaheshimu. Linalonishangaza kidogo ni kwa jinsi Mondi alivyomjibu Gwajima kwamba chonde chonde j2 isije ikawa chungu mwaka mzima. Swali kwani Mondi anaogopa nini? Kuna lolote lipo nyuma ya pazia juu ya mafanikio yake ambayo watu wakiyajua yatashusha mafanikio yake?
Mimi naamini Modi anapata riziki yake kwa jasho lake. Ila naanza kupata wasiwasi! Huwezi muogopa Gwajima kama unakula kwa jasho lako! Kuna kitu tu......Mwakyembe alipokuwa waziri wa uchukuzi aliwahi kuomba dola imchunguze Diamond .