Diamond kapoteza mvuto?

Diamond kapoteza mvuto?

iron finger

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
358
Reaction score
220
Simba au dangote wa miaka mitatu iliyopita sio huyu wa sasa nadiriki kusema kageuka paka sio simba tena.
Simba wa zamani ilikuwa ni ngumu kumkuta bongo ratiba yake ilikuwa booked almost the whole year,hakuwa na muda wa majungu wala vijembe alikuwa busy na show kama sio show basi alikuwa na ratiba ya collabo na artist wa nje alikuwa hafikiki kirahisi.

Toka mwaka uanze mond hajafanya show yeyote kubwa wakati wakina Whizkid na Davido ambao walikuwa level moja nae au kawazidi wakiwa wanapasua anga mond yeye anazidi kushuka chini alifanya shoo chache london lakini zote zilidoda na nyengine akanusurika kichapo yeye na crew yake,
Muda mwingi yuko bongo akileteana majungu na wanawake zake kina Hamisa je tatizo nini?
 
Diamond ovyo tu minyimbo yake inatamba siku 2 ya 3 haina mvuto wakati King Kiba nyimbo zake ukizisikiliza utadhani kaitunga Leo yani nyimbo zina mvuto,kiukweli kwa wasanii wa hapa bongo ninaowasikiliza nyimbo zao ni Joh Makini na King Kiba ndo nyimbo zao ninazo sio hizo takataka nyingine
 
Hivi hiyo Dawimondi ndiyo nini eti?
Maana mie mgeni.
 
Simba au dangote wa miaka mitatu iliyopita sio huyu wa sasa nadiriki kusema kageuka paka sio simba tena.
Simba wa zamani ilikuwa ni ngumu kumkuta bongo ratiba yake ilikuwa booked almost the whole year,hakuwa na muda wa majungu wala vijembe alikuwa busy na show kama sio show basi alikuwa na ratiba ya collabo na artist wa nje alikuwa hafikiki kirahisi.

Toka mwaka uanze mond hajafanya show yeyote kubwa wakati wakina Whizkid na Davido ambao walikuwa level moja nae au kawazidi wakiwa wanapasua anga mond yeye anazidi kushuka chini alifanya shoo chache london lakini zote zilidoda na nyengine akanusurika kichapo yeye na crew yake,
Muda mwingi yuko bongo akileteana majungu na wanawake zake kina Hamisa je tatizo nini?
Hana kitu kichwani huyu jamaa ni upepo ulimkalia vizuri ila kwa sasa ni byebye very soon ataokota makopo
 
Hata kama humpendi mtu lkn si kwa uongo huo, show Madagascar uliyoina au unaleta ushabiki, toka mwezi wa sita mpaka wanane jamaa kapiga show zaidi ya 20, hapo bado ana show Namibia mwezi huu, haya mwisho angalia ktk tamasha la one ambalo limejaa A list wa Africa Diamond yupo miji yote. Hivi ushajiuliza kwa nn, jamaa zenu na tamasha lao pendwa mpaka sasa wanashindwa kutangaza tarehe ya tamasha lao? Kama hujui WCB wameutawala mziki wa bongo fleva 80% kwa kifupi hamna mtu mwenye ubavu wa kuwakwepa WCB ,jamaa wameitawala social networking kwa kiasi kikubwa na kama hujui ni swala la muda tu lkn wadhamini wa wasafi festival tayari washapatika bado kupanga tarehe ya tamasha husika.
Eti tokea mwaka huu hajafanya show? Hivi unatumia simu ya tochi, hivi hujamsikia Victoria kimani akilalamika baada ya Diamond kupewa hela ndefu alipozindua album yake Kenya na nje ya hapo Kenya peke yake mwaka huu kapiga show zaidi ya tano, UK kapiga show zaidi ya nne, moja iliahirishwa na maafisa wa usalama sababu watu walijaa wengi huko Bingham. Haya mwisho angalia A list ya One festival
images-6.jpeg
images-5.jpeg

Hapo bado ana show Canada miji mitatu au labda unamzungumzia Diamond mwengine au labda umetumwa umuharibie kwa mzushia jamaa, kwa kifupi mwaka huu hayupo msanii yoyote aliyepiga show kumzidi Mondi na jamaa kila siku anakuwa, nchi za kusini mwa jangwa la sahara ambazo hajapiga show ni Angola, lkn nchi zote kamaliza tena kafanya kwenye open space.
 
Hata kama humpendi mtu lkn si kwa uongo huo, show Madagascar uliyoina au unaleta ushabiki, toka mwezi wa sita mpaka wanane jamaa kapiga show zaidi ya 20, hapo bado ana show Namibia mwezi huu, haya mwisho angalia ktk tamasha la one ambalo limejaa A list wa Africa Diamond yupo miji yote. Hivi ushajiuliza kwa nn, jamaa zenu na tamasha lao pendwa mpaka sasa wanashindwa kutangaza tarehe ya tamasha lao? Kama hujui WCB wameutawala mziki wa bongo fleva 80% kwa kifupi hamna mtu mwenye ubavu wa kuwakwepa WCB ,jamaa wameitawala social networking kwa kiasi kikubwa na kama hujui ni swala la muda tu lkn wadhamini wa wasafi festival tayari washapatika bado kupanga tarehe ya tamasha husika.
Eti tokea mwaka huu hajafanya show? Hivi unatumia simu ya tochi, hivi hujamsikia Victoria kimani akilalamika baada ya Diamond kupewa hela ndefu alipozindua album yake Kenya na nje ya hapo Kenya peke yake mwaka huu kapiga show zaidi ya tano, UK kapiga show zaidi ya nne, moja iliahirishwa na maafisa wa usalama sababu watu walijaa wengi huko Bingham. Haya mwisho angalia A list ya One festival
View attachment 864565View attachment 864566
Au labda unamzungumzia Diamond mwengine.
Mkuu umetisha dawa ya umbeya ni data
 
Hana kitu kichwani huyu jamaa ni upepo ulimkalia vizuri ila kwa sasa ni byebye very soon ataokota makopo
Mkuu
Jamaa alikua talented sana
Mimi binafsi dunia nzima nasikiliza nyimbo za fally ipupa na baadhi za diamond (mfano ntampatawapi,nataka kulewa,i miss you)
Ila sikuizi naona nyimbo zake ndio kuna tatizo kama sio hivo basi lifestyle yake imemponza once again nasema jamaa ana kipaji ila saivi kuna tatizo mahali anakosea
 
Back
Top Bottom