Diamond kapoteza mvuto?

Ndo maana nimekwambia hao unaosema wewe wanadhalilishwa wanapenda hivyo anavyowafanyia
Hamna mtu anayependa huo ushenzi ndo maana sasa inakula kwake ukichangia na familia yake ya kiswahili iliyokosa mwanaume ka baba basi ni shida
 
Call me old school guys, lakini mbona kuna so much hatred between hawa waimbaji wawili and their fans..? Yaani nasoma comments hapa utafikiri mmoja kati ya hawa wawili sio Mtanzania.. Nilidhani upinzani unaishia kwenye muziki tuu, kumbe sasa unaenda mbali mpaka mnaombeana mabaya..! Hivi tukiwa na hao wanamuziki wawili, na wakawa wanafanya vizuri kwenye medani za kimataifa, sifa si inakuwa ya Watanzania wote..! Why tena kusakamana huko..?
 
Well Said and Best analysed,haters wakalie kwa uchungu doleni kule kati ya pemba na Mombasa....
 
Niongezee kidogo, hapao awali baada ya jamaa kukosana na clouds fm...watu walitabiri huenda ikawa ndio mwisho wake lkn hili halijawezekana, Na ushahidi ni kwamba hata wasanii wamegendua ustrong wa jamaa. Ndio maana now days wasanii hawaogopi kuside Sana WCB Kama mwanzo Kwa kuhofia huenda wakachukiwa Na wao.... Hii inathibitishwa Na collabe ya dully Na konde, Ben Pol Na konde boy, JuX kweny jibebe challenge, iren , gigy na juz amber kuhojiwa kwa nin anajipendekeza wasafi katoa majibu, hii inaonesha jamaa wana support kubwa.... Kweny udaku huku WCB ndio associators wa gossip zote hapa bongo, itabid ujue mobeto katrend kisa ana confront na team mond matokeo yake clouds wakamtumia kama MC, jiulize tu kuhusu fiesta mwaka huu alaf fanya tathmini ya wasanii mbali na WCB 20 wanaoweza kusimamisha mji...... Yan mtoa mada unasemaje jamaa anaporomoka wakati now days kila mtu anataka ajira paleb WCB kuanzia presenter, MCs, artist, photographer, dancers na wengine........Labda utueleze uko kushuka unakokusema labda siss hatujui tafsiri yake
 
Mzee baba kuna uzi unaojipambanua zaidi nimeuweka kwny hili jukwaa.... naamin akisoma atauelewa na atajua diamond ni nani inawezekana akawa hamjui anauemzungumzia
 
Kuna mijitu inaakili za kimavimavi tu. Sasa kama unamsikiliza kiba utamsikilizaje Diamond. Mimi namsikiliza Diamond. Nyimbo zake zinachuja kwapani kwako labda
Nikishambuliwa hadharani mademu zangu huwa wakali kama hivi basi raaha!
 
Kila nabii na majira yake kushuka bado naona kaamua kuwainua wasanii wake kwanza ili kampuni yake ikue then aendelee mwenyewe
 
Ukweli ni kwamba bado Diamond anasumbua Tz na nchi nyinginezo. Fanya kautafiti kadogo tu tembea mijini kila baada ya umbali mdogo tu utakuta nyimbo yake inapigwa pili nenda kwenye masherehe mbalimbali utasikia karibu nusu ya nyimbo zitakazochezwa ni kutoka WCB lakini ni mara chache sana kusikia nyimbo za Ali Kiba. Kwa upande wangu naona kama upande wa Kiba wanapenda kuanzisha viushindani na Diamond ili waonekane wapo maana Diamond ndiyo habari ya mjini.
 
Kiba boya tuuu, diamond platinumz ndo babalao mtajibeba Sana mwaka huu,nyimbo za diamond platinumz Kila siku Ni mpya may be your a hater ok go&sleep.
 
kuna wanaume wako vzuri huwa hawazalilishi waliovuliana nguo,

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kweli tafsiri ya uzuri wa mtu ni pana sana..!

Unakosoa na kubariki ufuska papo kwa papo.

Tanzania ya viwonder.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…