Diamond karanga sijazielewa kabisa

Diamond karanga sijazielewa kabisa

Wenzio wanzipenda hivyo hivyo kwa hiyo hulazimishwi,kwani zako tamu ziko wapi

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Unataka tamu zake!

brain is the beautiful part of the body.
 
Pamoja na kwamba mimi sio mshabiki wa bongo flavour na pia simkubali kabisa Diamond(Kwa sababu ya uCCM wake, nyimbo zenye matusi, Kuvaa hereni na tabia zake za kimalaya) lakini katika hili la Karanga kiukweli kabisa ni TAMU.
Zimetengezwa kwa radha nzuri sana na kuhifadhiwa katika kasha lenye uimara na mvuto.

Kitu pekee ambacho kwangu nimeona kasoro katika karanga zile ni, gharama yake ni kubwa ukilinganisha na ujazo uliopo kwenye Pakiti. Yaani Shilingi 300/= kwa punje zisizozidi 30 za karanga(Japokuwa size yake ni kubwa) hapo kibongo tumedhulumiwa.
 
Hatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app

Mkuu mbona nzuri tuu
Mie nakula karibu kila siku Kama 3 hivi!
Zina ladha nzuriii sana
 
Hatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Mkuu una haribu brand ya mtu ki masihara hivo unajua ka hustle vipi mpaka kuileta bidhaa dukani kapitia mangapi vipi upo tayari kuburuzwa kortini na kumlipa, au ulitaka tu kufurahisha watu kwamba nawe umeleta uzi watch out not to that extend!
 
Daah! safi saana. Karanga za Chumvi na Serengeti ya baridi, zina tulizana....Uhondo
 
ww umefanya nn cha kwako so far?

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Jamaa ameshindwa kufikili ubongo umeishia pale, perfume tu ndo katuteka

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Mawazo ya waajiriwa

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Hatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Mzeebaba kazijarbu tena
Ujue niliiona post ako bt nikaogop kukoment kbla cjajarbu bt Jana nimezitaft mpk nimezipt
Mbon zipo poa tu boc

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Hatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Sorry Hv We Ni Fans Wa Kiba Eeh Samahan Lakn
 
Nazisubiri kwa ham huku kibiti

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Sio karanga za Diamond....zinaitwa Diamond siku nyingi sasa hivi naona wameona wamtumie Diamond kuzi promote....nafikiri zinatengenezwa na jamaa wanaotengeneza Chama.
Ni kweli mkuu hizi karanga hazina mahusiano na dimond hata kidogo zaidi ya kuzitangaza tu..hizi karanga zinatengenezwa na kampuni ya SMART industries inayotengeneza Chips Snacks
 
Hatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
acha ujinga katika biashara za watu
we dare to speak openly ila sio kama hivi

nimekuchana povu ruksa
 
Ina maana kwa mfano wasanii wanaofanya matangazo au promo kwenye makampuni ya simu, vinywaji nk. basi tuseme tayari wana hisa au wanamiliki makampuni hayo? tujaribu kufikiria nje ya box kidogo. Diamond kuna uwezekano mkubwa katumiwa tu kwa ajili ya matangazo. Amewahi kufanya hivyo kwenye matangazo kibao nadhani hata kampuni moja iayotengeneza tomato source iliwahi kumtumia lakini sidhani kama ile kampuni ni ya kwake ingawa pia sipingi uwezekano wa kuwa na hisa mle. Pengine ni hilo jina limefanana na la kwake lakini ujue hata Diamond mwenyewe jina lake la ukweli siyo hilo, lile ni jina la kibiashara tu mtu waweza kulitumia kwa chochote kingine. Kuhusiana na ladha ya karanga hizo mbona ni nzuri tu, pengine ulikutana na pakti iliyokuwa haijakaa vizuri tu kwa bahati mbaya kwani hata mashine wakati mwingine hukosea, mbona hata viwanda vya soda wakati mwinngine vinakosea unakuta uchafu ndani ya chupa?
Uliyoyaandika yote hayo, still huna hata uhakika?
 
Back
Top Bottom