Unataka tamu zake!Wenzio wanzipenda hivyo hivyo kwa hiyo hulazimishwi,kwani zako tamu ziko wapi
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Hatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Mkuu una haribu brand ya mtu ki masihara hivo unajua ka hustle vipi mpaka kuileta bidhaa dukani kapitia mangapi vipi upo tayari kuburuzwa kortini na kumlipa, au ulitaka tu kufurahisha watu kwamba nawe umeleta uzi watch out not to that extend!Hatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Mawazo ya waajiriwaJamaa ameshindwa kufikili ubongo umeishia pale, perfume tu ndo katuteka
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Mzeebaba kazijarbu tenaHatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Sorry Hv We Ni Fans Wa Kiba Eeh Samahan LaknHatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Ni kweli mkuu hizi karanga hazina mahusiano na dimond hata kidogo zaidi ya kuzitangaza tu..hizi karanga zinatengenezwa na kampuni ya SMART industries inayotengeneza Chips SnacksSio karanga za Diamond....zinaitwa Diamond siku nyingi sasa hivi naona wameona wamtumie Diamond kuzi promote....nafikiri zinatengenezwa na jamaa wanaotengeneza Chama.
acha ujinga katika biashara za watuHatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga hamna kitu chumvi nyingi alafu zinakereketa kwenye koo sijui kwa wenzangu inshort zinakinaisha.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Uliyoyaandika yote hayo, still huna hata uhakika?Ina maana kwa mfano wasanii wanaofanya matangazo au promo kwenye makampuni ya simu, vinywaji nk. basi tuseme tayari wana hisa au wanamiliki makampuni hayo? tujaribu kufikiria nje ya box kidogo. Diamond kuna uwezekano mkubwa katumiwa tu kwa ajili ya matangazo. Amewahi kufanya hivyo kwenye matangazo kibao nadhani hata kampuni moja iayotengeneza tomato source iliwahi kumtumia lakini sidhani kama ile kampuni ni ya kwake ingawa pia sipingi uwezekano wa kuwa na hisa mle. Pengine ni hilo jina limefanana na la kwake lakini ujue hata Diamond mwenyewe jina lake la ukweli siyo hilo, lile ni jina la kibiashara tu mtu waweza kulitumia kwa chochote kingine. Kuhusiana na ladha ya karanga hizo mbona ni nzuri tu, pengine ulikutana na pakti iliyokuwa haijakaa vizuri tu kwa bahati mbaya kwani hata mashine wakati mwingine hukosea, mbona hata viwanda vya soda wakati mwinngine vinakosea unakuta uchafu ndani ya chupa?