Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeona diamond akizipromote hizo karanga Sasa hiv? nafikiri Kuna mgongano umetokea Kati ya diamond na kampuni inayozalisha hizo karanga.Leo katika pita pita zangu watoto wakanidai diamond karanga. Kama utani tofauti na nilivyozoea siku za nyuma sijafanikiwa kuona mtu akiuza wala hata dalili.za uwepo wa diamond karanga mjini. What happened kwa mtu anayejua.
Acha uzushi mzee babasoko gumu mzee alipata hasara kubwa,,,, taarifa za ndani zinasema hivyo ..
Usipende kuzungumzia kitu ambacho huna information nacho.Zilishadoda tayari, wanakula na familia yao huko madale
Wapiga dili
Wewe umeona diamond akizipromote hizo karanga Sasa hiv? nafikiri Kuna mgongano umetokea Kati ya diamond na kampuni inayozalisha hizo karanga.
Aaah kumbe siyo zake?..PAFYUMU JE?Wewe umeona diamond akizipromote hizo karanga Sasa hiv? nafikiri Kuna mgongano umetokea Kati ya diamond na kampuni inayozalisha hizo karanga.
Haya tupe ww info.Usipende kuzungumzia kitu ambacho huna information nacho.
Anashea na watu hamiliki yeye 100%.Aaah kumbe siyo zake?..PAFYUMU JE?
Tunashukuru kwa taarifa haya wataarifu na wenzio wapunguzage kutupigia kelele na kutaka kukatafutia kajitu kenu u Mungu mtu .Anashea na watu hamiliki yeye 100%.
Kuanzia Wasafi media hadi perfume ni kama kwa Kiba tu Mofaya hamiliki 100%.
Ndivyo biashara kubwa hufanywa.
Kuondoa uhalisia wa karanga kwa kuweka vitu vya ziada kama sukari ilikuwa kosa kubwa sana kwa hizi product za Diamond karanga .Ikumbukwe pia soko letu hapa Tanzania kwa bidhaa ambazo sio za muhimu kama Diamond karanga ni kwa ajili wa walionacho .Walionacho nao hawawezi acha kula karanga halisi na kuanza kula karanga zenye unga wa ngano mkuu .Hiyo sio karanga bali ni kitu kingine kabaisa.Leo katika pita pita zangu watoto wakanidai diamond karanga. Kama utani tofauti na nilivyozoea siku za nyuma sijafanikiwa kuona mtu akiuza wala hata dalili.za uwepo wa diamond karanga mjini. What happened kwa mtu anayejua.
Hapa umenikumbusha mtu mmoja anajiiita Shilole kiuno! Sijui yuko wapi. Aliwahi kuikandia hiyo pafyumu. Yani kama kuna mtu alisoma ule uharo wa Shilole Kiuno na akatumia ile pafyumu, atakuwa na moyo mgumu kama jiwe...PAFYUMU JE?