Diamond Karanga zimeishia wapi?

Diamond Karanga zimeishia wapi?

Leo katika pita pita zangu watoto wakanidai diamond karanga. Kama utani tofauti na nilivyozoea siku za nyuma sijafanikiwa kuona mtu akiuza wala hata dalili.za uwepo wa diamond karanga mjini. What happened kwa mtu anayejua.
Siri za Wahindi wenye biashara.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] nilikwisha sahau
 
Hapa umenikumbusha mtu mmoja anajiiita Shilole kiuno! Sijui yuko wapi. Aliwahi kuikandia hiyo pafyumu. Yani kama kuna mtu alisoma ule uharo wa Shilole Kiuno na akatumia ile pafyumu, atakuwa na moyo mgumu kama jiwe...
Kivip bw mikopo
 
Kuondoa uhalisia wa karanga kwa kuweka vitu vya ziada kama sukari ilikuwa kosa kubwa sana kwa hizi product za Diamond karanga .Ikumbukwe pia soko letu hapa Tanzania kwa bidhaa ambazo sio za muhimu kama Diamond karanga ni kwa ajili wa walionacho .Walionacho nao hawawezi acha kula karanga halisi na kuanza kula karanga zenye unga wa ngano mkuu .Hiyo sio karanga bali ni kitu kingine kabaisa.
Wangeita tu DIAMOND CHAPATI[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom