Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Wameanza kutukana kwa Nokia 95 mpaka sasa wanatukana kwa smartphone na tabiri kibaoDuh ma haters kumbe wameanza kitambo, watakuwa wamezeeka sana sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameanza kutukana kwa Nokia 95 mpaka sasa wanatukana kwa smartphone na tabiri kibaoDuh ma haters kumbe wameanza kitambo, watakuwa wamezeeka sana sasa
Hivi Kumbe tabiri za kusema Huyu mond atashuka mmeanza zamani eee?Ngono na usharobaro vimeshusha jina na sifa zake....atachoka siku si nyingi we ngoja utakuta kama mwenzie wema...mitaani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawa manabii uchwa*a kumbe wana umri mkubwa hivi
Wachawi wapo tokaa enzi zamababudiamond hana ladha tena.
Kakuachia wew hihi haters number oneNgono na usharobaro vimeshusha jina na sifa zake....atachoka siku si nyingi we ngoja utakuta kama mwenzie wema...mitaani.
Wew umechemshaa yey bado anazidi kutusuwa inawezekana hatakama haupo hai tenaHuyu dogo kwa tabia zake hizi,muda si mrefu atachemsha.
Wrong; jitabiliy mwanaHivi Q chief nae kaishia wapi? Nafikiri na yeye alikuwa dizaini izi
Sijui saa hv unajisikiajeNgono na usharobaro vimeshusha jina na sifa zake....atachoka siku si nyingi we ngoja utakuta kama mwenzie wema...mitaani.
Una uhakikaHuyu dogo kwa tabia zake hizi,muda si mrefu atachemsha.