Diamond kaza uzi Rayyvann anakuja kwa kasi

Diamond kaza uzi Rayyvann anakuja kwa kasi

Ile sugu kama amefanya just kwa kujifurahisha na vitu ka hizo hapo sawa ila kama ni official track aisee hapana hauwezi kuisukuma ngoma kama ile sema kwa sababu sisi wabongo tumekariri watu wa kuwasapot utashangaa ikiombwa redioni!!! Ila ni ngoma ya kusikiliza geto tu kusogeza muda
Yap ni Ya kusikiliza ghetto tu ndio maana katumia beat ya lil bow wow - That's my name.(Bow wow)
 
wapi niliposema asisaidiwe?
Uwe unasoma na kuelewa usikurupuke

Nilichokisema ni kuwa diamond aongeze juhudi zaidi asibweteke na mafanikio yake kwa kuwa atawakosa mashabiki wake kwa kuwa kijana Raymond ameonesha ushindani wa hali ya juu
Kwani wanashindana?

Huko ni kupandikiza chuki
 
Baba la baba diamond platnumz chibu dangote simba kaza mdogo wangu huyu kijana rayyvann anakuja kwa kasi sana

Ingawa ni kitu kizuri kuona kijana anazidi kufanikiwa tena isitoshe yupo katika lebel yako ila nakusihi mdogo wangu huyu dogo atakuvua nguo huko mbeleni usipokuwa makini utaonekana si chochote mbele yake ,kaza kamba sana toa mawe ya kueleweka zaidi

Kijana kafanya vizuri sana katika ngoma yake ya Sugu nina imani na wewe pia utakuwa hujaniangusha katika ngoma yako na Richard mavoko



Kwa leo yangu ndo hayo tu ni mimi shabiki wako nambari moko peninsula xavier dos santos from mpumalanga

Ingawa unasema wewe ni shabiki wa Diamond, ila ujumbe wako umekaa kichochezi zaid. Mfano kama baba akiwa mwalimu alaf mtoto wake anaelekea flani kuwa rubani; itakuwa inawezekana vipi mtoto awe anamvua nguo tena baba ake wakati baba mwenyew ana tamani dogo litikise!? Hamna sababu ya Diamond kuweka mawazo ya kiushindani na mtu ambae ni kama mtoto wake kimuzik, itamfanya asimpee fursa zote zinazopasa kwa kuhofia kupoteza nafasi yake.
Bythway wote wanapaswa wafanye vyema wakuze brand yao
 
Hiyo ni Roho mbaya mkuu..ina maana unataka awachukue watu wabovu kwenye Label yake ili wasimzidi muziki mzuri?!

Kumbuka Diamond ameanzisha WCB brand kwa ajili ya Biashara na sio kituo cha msaada wa kuwainua wasanii.Na ndio maana amesaini wasanii wazuri ili pesa irudi mfukoni mwake..
Sasa akisaini wasanii wabovu haitokuwa biashara tena maana hawatouzika mbele..
 
Back
Top Bottom