Diamond kila anapogusa moto

d tarimo

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2015
Posts
918
Reaction score
515
daaa kweli diamond anawakati mgumu sana

nimepita kule tweeter nimeona anaomba apigiwe kura amebaki akiambulia matusi ooh nenda lumumba oooh pale jangwani mbona ujamwambia wakina weka mbali na tembo mara oooh mwambie mkwere

nikapita tena kule facebook mambo yako nimabaya sana kwake

mara dogo anaye kutumia asha kuaribu
mara hooo kaumbe vijana wa uvcccm

kule istagram do weacha sijuhi tumsaidiaje huyu dogo
 

Asubiri ICC ikija Tanzania imuunganishe katika mashtaka ya UCHOCHEZI anaouhubiri kila kukicha.
 
Mumechapisha mpaka mat-shirt eti munajiita malofa…!!!
 

Ah ah ah ah
Analooooh mwaka huuuu
 
Diamond akitaka kubakia na heshima yake,atumie sanaa ya mziki kupinga maovu ya ccm si kuipamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…