daaa kweli diamond anawakati mgumu sana
nimepita kule tweeter nimeona anaomba apigiwe kura amebaki akiambulia matusi ooh nenda lumumba oooh pale jangwani mbona ujamwambia wakina weka mbali na tembo mara oooh mwambie mkwere
nikapita tena kule facebook mambo yako nimabaya sana kwake
mara dogo anaye kutumia asha kuaribu
mara hooo kaumbe vijana wa uvcccm
kule istagram do weacha sijuhi tumsaidiaje huyu dogo
Mumechapisha mpaka mat-shirt eti munajiita malofa !!!
nani ampigie kura diamond? nitawapigia wanaoshindana nae hata kama ni wasomali.
daaa kweli diamond anawakati mgumu sana
nimepita kule tweeter nimeona anaomba apigiwe kura amebaki akiambulia matusi ooh nenda lumumba oooh pale jangwani mbona ujamwambia wakina weka mbali na tembo mara oooh mwambie mkwere
nikapita tena kule facebook mambo yako nimabaya sana kwake
mara dogo anaye kutumia asha kuaribu
mara hooo kaumbe vijana wa uvcccm
kule istagram do weacha sijuhi tumsaidiaje huyu dogo
Mkuu hizo "mumechapisha...", ".....munajiita...." Wewe kweli ni Mtanzania?