Nyamaza kwani.hakujua kama mpo.mbn anajikomba sasa Aliambiwa awaulize kilichowapata kina marlow
Nilikuwa cmpendi kabsa ingawa nyimbo.zake mbili.nazipenda kama nitarejea na lala salama lkn alipoenda ccm ndio kajitoa mwenyewe moyoni mwangu
Najua inauma ila vumilia tu dbanj anaomba kupiga picha na daimond we nani?
Uwiiiiiii nimecheka hadi machozi!nani ampigie kura diamond? nitawapigia wanaoshindana nae hata kama ni wasomali.
Kweli kuna watu wapumbavu na malofa hasa, hivi DIAMOND anaweza kukutoa wewe kwenye chama unachokishabikia kisa yeye anakipigia promo ccm au ni vile munamchukia toka zamani kwa hiyo munajificha ktk kivuli cha siasa ......... sasa ngoja niwaambie tupo wengi sana tunaompenda na tutaendelea kumpenda na kura tutampigia na anazostahili atashinda na nyinyi hamujaanza leo kumchukia ni kama muendelezo tu hautupi shida na yeye anawajua ndo mana hawajali na anazidi kuposti na ataendelea kuposti na tangu mulipoanza kumchukia hajawahi kushuka ndo kwanza anazidi kupanda tu
Msipo mpigia kura nyie sisi tusio mashabiki wa siasa tutampigia sana riziki kama IPO IPO tu binadamu hawezi izuia
Wewe usiwe na akili za kushikiwa hivi ukishaingia chumba cha kupigia kura ukishatoka tutazibitishaje kama kweli wewe uliwapigia Ukawa ???????????????acheni kuzilazimisha chuki zenu binafsi kuzifanya za watu wote umempigia au hukumpigia yeye hajakufata nyumbani kwako ila anaomba kura zetu kupitia kurasa zake ni juu yako na wala hakulazimishi kuingia kwenye kurasa zake ni wewe tu na kiherehere chako tu.Kwa kuwa hataipigia kura UKAWA,nasi UKAWA hatutampigia kura.
Hakupigii cm na hapandi jukwaani kuomba kura yako wala hakulazimishi kuingia kwenye page zake za ig,facebook wala twitter ambako ndo kaweka maombi ya kumpigia kuraTatizo nikimpigia ni sawa na kumpigia Mbunge wa Chichiem yaani sijui nifanyeje?Zamani nilikuwa mwepesi lakini sasa hivi?sijui nifumbe macho?
Wewe usiwe na akili za kushikiwa hivi ukishaingia chumba cha kupigia kura ukishatoka tutazibitishaje kama kweli wewe uliwapigia Ukawa ???????????????acheni kuzilazimisha chuki zenu binafsi kuzifanya za watu wote umempigia au hukumpigia yeye hajakufata nyumbani kwako ila anaomba kura zetu kupitia kurasa zake ni juu yako na wala hakulazimishi kuingia kwenye kurasa zake ni wewe tu na kiherehere chako tu.
Na yeye wala hakuwahi kuhisi uwepo wako, na hajaona ulichompunguziamimi ni shabiki mkubwa wa DIAMOND ila kwa sasa namuona kama KINYESI....sitaki kumuona wala kumsikia kabisa
Na yeye wala hakuwahi kuhisi uwepo wako, na hajaona ulichompunguzia
Tumia neno jipya hili la kawaida mno kama nitakavyokwambia wewe shoga niliyekukaza juziNilikuwa napachika sindano gizani ili nisikie kelele.Kumbe kina bosslady mpo.teh teh