nao
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,832
- 1,940
Nyamaza kwani.hakujua kama mpo.mbn anajikomba sasa Aliambiwa awaulize kilichowapata kina marlow
Nilikuwa cmpendi kabsa ingawa nyimbo.zake mbili.nazipenda kama nitarejea na lala salama lkn alipoenda ccm ndio kajitoa mwenyewe moyoni mwangu
Heeee wewe nikama nani wakuninyamazisha nichukie nyimbo zake Kisa hajafata matakwa yako ya kisiasa kwa lipi hasa ebu nipishe nitapenda nyimbo zake nanitampigia kura kwani kwa walazimisha mmpigie.