Diamond kila anapogusa moto


Aliyesema lini hayo?
 
Team kiba na Bavicha naona mnajitahidi sana kumshusha kijana lakini mnashindwa!mmebaki tu subiri subiri na time will tell!looh

Poleni sana jamani vumilieni tu maana siasa ndivyo ilivyo,nahisi mtakufa kabisa siku Ngoyai akichinjwa kwa mara ya pili
 
Zamani nilijua huyu dogo watu wanumuonea, sasa ndo nimegundua huyu ni "zamwamwa"
 
aulize marlow yuko wapi...siasa imempoteza kushadadia green team,

Huyo marlaw alifika level ya diamond? Wasanii wakiwa ukawa makamanda, wakiwa upande wa pili wasaliti, mkapa hajakosea kuwaiteni wapumbavu, na mimi narudia wapumbavu kweli, ile sheria haijaaza kazi sina waswas pia
 
Yani watu wanavyoombea Diamond aanguke kisanii utafikiri wanasubiria embe lililoiva chini ya mti wa mwembe,hata Kama atashuka kisanii si wa kufananisha Na Mr nice,Mr Nice alishika pesa tu lakini hakuwa na mafanikio na maendeleo Kama ya D,kimuziki na kimaisha na hapa watu wengi ninavyowasoma wanamuombea Dai afulie Kama Mr Nice,nashangaa wasanii wanoonyesha hisia zao Ni wengi lakini anaandamwa Dai Watanzania tuna roho mbaya Sana! Dai atashuka mwenyezi mungu akitaka si binadamu Kama Zama zake zitakuwa zimekwisha lakini si kwa binadamu kulazimisha.
 

Ndio maana tuna/tuli pigiwa kelele sanaa " nendeni shule ". Ukiwa na shule kichwani hata kama una ishi maisha flan ya kawaida tu lazma kuna maadili/busara flan za ki maisha huwezi kosa in ur daily routines.

Hata ukiangalia mara nyingi akili ndogo ikishika hela nyingi kwa pupa bila kuwa na maandalizi mazuri ya kisaikolojia nayo inakua shida sanaa.

I'm not a fan of his, so i'll keep ignoring as I always do.
 

We ndio boya kweli, shudu lote hilo unaandika kwa kurefer kilichoongelewa kwenye page fake ya facebook?? page ya diamond facebook ni verified na hakuna sehemu yeyote kwenye page zake ya kuponda show za ndani wala kaskazini huko...

jipange next time, utaambiwa shoga utaamini hahaha
 
Akamwombe dbaji kura bac..au aombe wanaigeria si wapo wengi..sisi vijana tunajaribu kuikomboa nchi yeye anajikomba kwa kuwa sacrifice vijana wenzako nao wamtoa maamuzi magumu ya kum sacrifice yeye!..no huruma hapa gonga tegemea kugongwa nyundo!

Mkuu kwani dimond kakuomba wewe kura we nani? Kura yako usimpe wanaompenda watampa we mpe davido tu hakuna shida. Na kwa kukutariifu tu ni kwamba mafanikio ya daimond hujachangia chochote so hata ukimchukia bado ni kazi bure tu maana hatohathirika na chuki zako.
 
, Uzuri wa #WCB huwa tunaongea Lugha moja na tunaelewa.

Eti mtu anakazana kabisa tutamshusha Diamond! Mtu mwenyewe si apeche si alolo hana analomiliki zaidi ya Elfu 5 na mdomo wa kwenda kuzomea kwenye fiesta.

Unawezaje kumshusha mtu, who are you in the World! ? Unamiliki media gani itakayokuwezesha kumpublish diamond negatively? Je unauhakika gani watu wote watakuelewa na watakubaliana na wewe.

Hamna mnachomiliki Zaidi ya account za Facebook na instagram zenye followers wasiozidi 20. Halafu mmekalia kutupigia kelele hapa!

Watu wenyewe wanaopiga kelele humu usikute hamjawahi kumpigia kura hata sehemu moja ila kwakuwa mnamchukia mmepata upenyo wa kupitisha chuki zenu.

Hizo over confidence za kujiona mnaweza kumshusha mtu why msizitumie kuwapandisha wale wanaosupport upande wao tuone kama kweli wanamiliki Riziki za watu.
 

Endeleeni na vinyodo vyenu tu
 
Team kiba na Bavicha naona mnajitahidi sana kumshusha kijana lakini mnashindwa!mmebaki tu subiri subiri na time will tell!looh

Poleni sana jamani vumilieni tu maana siasa ndivyo ilivyo,nahisi mtakufa kabisa siku Ngoyai akichinjwa kwa mara ya pili

Waambie tumeshachoka kusubiri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…