Diamond kila wimbo unaoimba hakikisha unavaa tshirt yenye nembo ya Tanzania

Diamond kila wimbo unaoimba hakikisha unavaa tshirt yenye nembo ya Tanzania

omarymbwambo

Member
Joined
Sep 22, 2014
Posts
59
Reaction score
46
Hakika wewe ndo kioo cha taifa letu ktk masula ya muziki kimataifa.ushauri wngu kwako hakikisha unavaa lebo ya taifa letu kama jezi za taifa stars au nguo yeyote yenye jina la Tanzania.Big up sana kwako
 
Hakika wewe ndo kioo cha taifa letu ktk masula ya muziki kimataifa.ushauri wngu kwako hakikisha unavaa lebo ya taifa letu kama jezi za taifa stars au nguo yeyote yenye jina la Tanzania.Big up sana kwako
Unamaanisha Diamond ni maarufu kuliko Ngorongoro crater, Mt. Kilimanjaro na Serengeti?
 
Hakika wewe ndo kioo cha taifa letu ktk masula ya muziki kimataifa.ushauri wngu kwako hakikisha unavaa lebo ya taifa letu kama jezi za taifa stars au nguo yeyote yenye jina la Tanzania.Big up sana kwako
Siyo lazima wew
 
Mbona wasanii wa majuu hawafanyi hivo ?

Ila akili ni nywele ....
 
Muanzisha thread atakuwa ni yule kijana mtoto wa marehemu Selina Kombani.
 
Unamaanisha Diamond ni maarufu kuliko Ngorongoro crater, Mt. Kilimanjaro na Serengeti?
Inawezekana maana huko duniani wanajua huo mlima kilimanjaro kwamba upo kenya upo hapo...
 
Ndo maana scorpion anamtoa saidi macho wanawawake na wanawake (wanaume wa dar) wanaangalia tu kwa ujinga
Scorpion angefanya huo ujinga A town
 
Eeeeeh mtoto wa Tandale... Ila katoka mbali
Hawking, filling station attendant etc.... Najaribu kiingereza na mimi si utalii huu shoo za majuu...au?


Kuna wizara nchini, impe kazi wamlipe hakuna vya bure...labda iwe inamfaidisha na yeye au kumfurahisha ndio avae.
 
Sioni hata kama kuna haja ya kufanya hivyo,yeye afanye vitu vyake watu wenyewe wataulizana na kuambiana kama huyu ni nani na ametoka wapi?lakini sijui kuvaa mi bendera utasema mwanariadha wala sio uzalendo au kuitangaza nchi,bali ni kama kulazimisha kiki kizamani,wacha afanye vitu vyake mpaka watu waulizane wenyewe,Kwani mpaka hapo alipofika alifika au anatambulika kwa sababu ya kuvaa bendera? mwacheni avae anavyotaka msimuharibie swaga zake na mi bendera yenu,hiyo mibendera wapeni wanariadha,ndondi,judo,nk.Yeye anaenda kule kwa ajili ya maisha yake halipiwi nauli na wala hapewi posho yoyote kwa anayoyafanya.
 
Unamaanisha Diamond ni maarufu kuliko Ngorongoro crater, Mt. Kilimanjaro na Serengeti?
Nimeona mleta mada kasema ni katika masuala ya mziki.
Sasa crater na milima inatoka wapi??
Ulitakiwa ulinganishe na mwanamziki mwingine.
 
Unamaanisha Diamond ni maarufu kuliko Ngorongoro crater, Mt. Kilimanjaro na Serengeti?
Inawezekana mana huko Ngorongoro, Serengeti na Kilimanjaro Kuna VAT zinaboa mpaka watu wanaishia Kenya..

Hivyo mleta mada kaiona Hilo analogic
 
Back
Top Bottom