Diamond kuachia video nyingine wiki hii

Tangazo tu la Vodacom limeharibu mipango yote ya uzinduzi wa Lupela, sasa akitoa na wimbo si ndio balaa kabisa. Tatizo kupigana kwa mawe huku unakaa kwenye nyumba ya vioo ndio hili. Vioo vyote vitapasuliwa.
 
Tangazo tu la Vodacom limeharibu mipango yote ya uzinduzi wa Lupela, sasa akitoa na wimbo si ndio balaa kabisa. Tatizo kupigana kwa mawe huku unakaa kwenye nyumba ya vioo ndio hili. Vioo vyote vitapasuliwa.
Duuh! You make my day leo asee
 
Haya sasa Chibu dangote! Diamond katika ukurasa wake wa twitter amesema kuwa wiki hii anaachia video mpya ya kwake na kutaka watu kukaa mkao wa kula

sijajua Diamond ana Maana Gani akati kiba kaachia video nae mda mfupi tuu

ngoja tusubiri
Ndo kasema hivyo mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…