Diamond kuachia video nyingine wiki hii

Diamond kuachia video nyingine wiki hii

haya ndio aliyo yaandika
 

Attachments

  • 1455055218181.jpg
    1455055218181.jpg
    31.1 KB · Views: 16
Mkuu huyu dogo ana project kibao..Sema naona Utanipenda bado inafanya poa..Labda hiyo video mpya inaweza kuwa ya Harmonize au Raymond
Ataangusha mbuyu juu ya mpera we usizime radio. Tv wala data teh kaa tayari
 
Umenifurahisha sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu diamond katangaza album ipo tayar bado kutoka tuuu... Sasa hebu imagine kuna kushinda hio vita walioianzisha[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Haya sasa Chibu dangote! Diamond katika ukurasa wake wa twitter amesema kuwa wiki hii anaachia video mpya ya kwake na kutaka watu kukaa mkao wa kula

sijajua Diamond ana Maana Gani akati kiba kaachia video nae mda mfupi tuu

ngoja tusubiri


Kama ni kweli basi Diamond anakusudia kumuua Kiba kimuziki. Kwa kweli Kiba analikoroga ile mbaya yaani kaishiwa kimuziki utadhani hajawahi kushika mic before. Anachoimba tofauti na kinacho onekana na kudansi.....yaani he is just too pathetic. Aache tu muziki aendelee kuzaa na mizoga.
 
Hivi wadau,kwanini watu huwa wanamlinganisha Ali kiba sijui king kiba na Diamond?

Yaani kwa kigezo kipi,mafanikio ya kimziki au umaarufu?

Kama ni uzuri wa sauti,kwanini wasimlinganishe Ali kiba na ruby au Dida?

The key logic ni ipi hapo?
ah,mkuu kuna cha maana basi..ni ungese ungese tu wa mashabiki wa timu tembo/ndovu
 
February 12-2016 Siku ya Ijumaa Kichupa cha #MakemeSing cha diamond-simba ft Aka kitadondoka Rasmi kupitia Mtv Base!
 
Wajua mziki wewe au unaongea tu, mshazoea kuona video ziwe na magari ya kifahari ma Lamborghini na majumba mazuri hiyo ndio uitakayo, Creativity ndo inayotakiwa.
lupela ndo video mbovu ya karne hovyoooo kabisa diamond na kiba ni sawa na kumlinganisha messi na winga wa majimaji ya songea komba ndunguru haule
 
Back
Top Bottom