hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
HahaaWengine watakuwa wamewahi ,alafu new member na alichokiandika hakieleweki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaWengine watakuwa wamewahi ,alafu new member na alichokiandika hakieleweki.
Naona vijana mshamaliza pepa now mko free kitaani Loh!Kuna kipindi kumewahi kutokea mikwaruzani kati ya Harmonize na Diamond Platnumz,” said Lizer Classic.
“Nakumbuka kuna siku Diamond alikuja Studio akaniambia kuwa nifute vocal zake zote katika wimbo wa Kwangwaru nibakishe tu vocal za Harmonize. Nikaona nisije nikapoteza kibaru changu, nikajua tu hawa wamegomba. Ivo nilimwambia tu mafuta lakini sikufuta.”Lizer Classic
Kusikia haya maneno ya producer huyo wa WCB inanikumbusha wakati alikiba alisema diamond alimfuta katika wimbo wa lala salama kwenye sporah show. Inathibitisha kuwa diamond ikawa kweli alimfuta alikiba kwenye wimbo wake ukweli hauna pazia.
kutoelewa wazo hili ni kama hujui kusoma ndio hukuelewa.