Diamond kumpangishia nyumba ya kifahari Meninah

Diamond kumpangishia nyumba ya kifahari Meninah

huyu dogo ndomo anatumia peak yake vizuri,,piga wote hao ndomo maaana ukishuka utawasikia kwenye bomba kama mr nice anatoswa mpaka na jini kabula
 
huyu dogo ndomo anatumia peak yake vizuri,,piga wote hao ndomo maaana ukishuka utawasikia kwenye bomba kama mr nice anatoswa mpaka na jini kabula

AAaaaahhh aaaaah dah we kiboko nimecheka sana et anatoswa had na akina kabula
 
Wazima binam nipe habariii yaan siku hizi mie asubuhi tu njaa loo

Hasubuhi we unasikiaga njaa? Mimi hayo mambo sinaga kabisa, mi umbea tu nikiamka hasubuhi ndo nauwaza, chai kila siku ni ile ile haibadiliki ila umbea kila siku mpya
 
Menina atakubali? maana kashasema atampeleka wapi ndomo kwa domo lile,au kafanya upasuaji kurekebisha domo lake? Yetu macho na masikio ila wanachosha na habari zao za kise...nge manyoya.

Huwa wanasema hivyo,hata jokate naye alisema maneno kama haya,lakini mwisho wa siku.......
 
Hasubuhi we unasikiaga njaa? Mimi hayo mambo sinaga kabisa, mi umbea tu nikiamka hasubuhi ndo nauwaza, chai kila siku ni ile ile haibadiliki ila umbea kila siku mpya

Hhhhhhaaaaaa mi ngoja ninywe sijui mimba changa binam ndio maana na njaa njaa
 
Yaani ampangishie Meninah mbezi beach au mikocheni wakati yeye anaishi Sinza?ngumu kumesa
 
Mmh!! Mambo tayar? Huyo uncle wangu atakuwa balaaa kwa kweli

Naomba tu asikufanane binam ,yaan ukiona sipo ujue nakula, nakula natafuna weeeee huu mdomo mpaka utapinda kisa kutafuna tu
 
Sasa nimeamini hili JUKWAA Bila Story Za
Diamond
Wema
Le Mutuz
Linakufa Kabisa.
 
Mhuu!Ng'ombe atakufa ataacha kisima palepale!hao ni mang'ombe jf kisima na sisi tutakufa jukwaa litabaki miaka mia!
Infact umaarufu wao unatutegemea sisi,yani amin usiamin tukiwasusa hao mapato yao yanashuka!kwanza wanapenda kuongelewa ndo maana hawaishi vihoja!

Mwambie huyo naona katoka kunywa mnazi hasubuhi hasubuhi anaropoka utumbo apa
 
Back
Top Bottom