Mkuu watu wamelala polisi toka siku walioitwa polisi kwenda kuojiwa we bado unasema kuwa sio wakosaji?!Jamani ikumbukwe kuwa kuitwa polisi sio mkosaji, hivyo ata mondi akiwawekea dhamana washikaji wala hatoharibu image yake, ila kwa watu wanaoangalia karibu ndio itakuwa tatizo kwao, kwangu mm atakuwa amefanya jambo LA msingi mnooooo
Je ni kweli utajiri wake kaupatia kwenye MUZIKI...!! mbona wengi wameimba jamani.....!! Kona zote AFRIKA YA MASHARIKI... KUSINI... KASKAZINI... MAGHARIBI... NA KATI..... ila MONDI ndie kawa KINARA afrika yote....!! Time will tell......Kwenye ule wimbo wa 'bado bado' kaweka kibwagizo eti apewe 'chaukucha tu asije zima'...!
Unazidi kuonyesha ujinga wako hapo wapi? Na wanaenda wapi?
Pole sana mkuu
Hahaha kwani nimekataa Romy sio ndugu wa diamond? Nadhani huelewi point yangu hapaMmh hivi wewe ni shabiki wa dai kweli au pandikizi?huoni hii picha kaiweka kwwnye acxount yake mwenyewe,huyo ni ndugu yake dai hata alipopata skendo ya ubakaji hakumfukuza wcb bali walimtetea.(ujinga sio tusi tafuta jingine,poooovuuuu)
Safi sana....wakiweza wamrishe unga wote boya huyoSio ametajwa, amekamatwa na mzigo wa unga.
Hahaha kwani nimekataa Romy sio ndugu wa diamond? Nadhani huelewi point yangu hapa
Kumbe hujanielewa mkuuPoint yako unakana rommy hayupo karibu na dai
Hiyo ya kulala polisi bado haithibitishi kwamba wana hatia, kumbuka mtu anaweza kuwekwa mahabusu(rumande) hata zaidi ya mwaka mzima upelelezi ukikamilika ndio anatolewa hukumu, kama ana hatia anafungwa kama hana hatia anaachiwa huru, kitendo cha kuwekwa rumande ni kuhakikisha mtuhumiwa hayuko uraiani ili asije kuvuruga ushahidi(uchunguzi)Mkuu watu wamelala polisi toka siku walioitwa polisi kwenda kuojiwa we bado unasema kuwa sio wakosaji?!
Ulitaka wadakwe na mzigo kabisa ndio ukubali?!
Kiba si mzee wa kujitoleaUtajiri wa kulipwa bilioni 2.2 alafu akaenda kulipa kodi milioni 35 ahaaa ahaaa
Naona umeamua kupenda Boga na mizizi yake.
Usipende pia kukurupuka mkuu na shemeji sio ndugu yako hata siku moja na isitoshe Diamond alikataa dada yake kuolewa na petit na ndio maana hata siku ya harusi ya esma diamond hakuwepo.Nadhani umenielewa shemeji yako sio ndugu yakoMkuu Kama hujui kaa kimya,
Dada wa diamond aitwaye Esma platnumz ndio ameolewa na Petit Man wakuache, kwahyo huyo Petit Man ni Shemeji wa diamond
Jidanganye hivyo hivyo, mali zako na Diamond ukijumlisha zote hazifiki hata robo ya mali zangu.Maskini utawajua tu
Duh!!!Jidanganye hivyo hivyo, mali zako na Diamond ukijumlisha zote hazifiki hata robo ya mali zangu.
Mimi ni bendera la mbao, ni wabongo wachache sana, hawafiki kumi wanaonizidi kwa akili na mali
Hapa ndipo unamuona Barnaba na Jaydee ni wasanii wanaojitambua. Wanaridhika na mafanikio ya kimuziki.Moyo wa kuridhika hata Mungu anaupenda turidhike na tunachopata ili tuwe salama na wenye amani.
So wewe timu ile unatamani asiitwe?Mnatamani kweli Diamond aitwe ili mbalance story timu fulani kama mmelogwa vile. Kaeni hapo subirini
Thibitisha ufeki wa barua mkuuWanatamani kweli Diamond atajwe hadi wanafeki barua
Mwenzao wanavyojituma kutafuta pesa hawaoni.
Team uchwara full majungu
Hahahaha Sio kwa akili hizo za kimaskini.Jidanganye hivyo hivyo, mali zako na Diamond ukijumlisha zote hazifiki hata robo ya mali zangu.
Mimi ni bendera la mbao, ni wabongo wachache sana, hawafiki kumi wanaonizidi kwa akili na mali
Mara nyingi lisemwalo lipo,aliyetunga hiyo methali aliona mbali sana aiseeh!!Mkuu kunasiku niliuliza hapa, ni huu huu mziki ndiyo umenunua nyumba bondeni? Nilisimangwa kuwa nina roho ya korosho.
Angalia kwenye source zako za habari unazoziamini ukiiona hii habari na barua njoo tena niulizeSo wewe timu ile unatamani asiitwe?