Diamond kumwekea dhamana Romy Jones na Petit man?

Sheria ya marekani inamlinda ndomana ni ngumu kumkamata
 
Hakuna anachosemaga cha uongo au kwakuwa anaichamba hiyo ccm yenu....nyie vijana wa lumumba mna matatizo
 
Mange anakua mbaya akitoa habari zakuiumiza fisiem lakini akitoa za cdm mishiopa huwa inawasimama utadhan wanywaji wa chang'aa. Mange wape zaidi maana hata nyuzi za makongo, Dubai na USA wengine hatukua tunazijua.
Kunywa soda nakuja kulipa
 
Hv Ni kweli kuna baadhi ya great thinkers umu wanasikiliza na kuamini maneno ya mange kimambi!!!!!?
kwa mtu unayemfahamu vzr kimambi utajua kua post zke nyingi uwa znawalenga wale anaowachukia au wenye ugomv nao...na akikuchukia atakutaftia chochote tu chakukusema....
 
Nlijua ni watu wazee tu ndo wenye matatizo kufikiria kwa kina na kupima mawazo ya watu na kuchekelewa kujua kuwa MTU mflani ni mpuuzi na mawazo yake ya kipuuzi[emoji117]Mange. Kumbe hadi nyoka_wazee mnakuwa wazito wa fikra hivyo. Ndo najifunza hilo
"unabisha nini wakati Mange ametuambia"
 
It needs more efforts to understand what is spoken by mange kimavi oh sorry I meant kimamvi, oh kimambi
It doesn't take too much time though to understand that mange is a 'low life' desparate, retard, sick, messed-up human being. She is a big-mouthed lunatic who needs a therapist ASAP. She's sick and we're ought to feel sorry for her.
 
Nlijua ni watu wazee tu ndo wenye matatizo kufikiria kwa kina na kupima mawazo ya watu na kuchekelewa kujua kuwa MTU mflani ni mpuuzi na mawazo yake ya kipuuzi[emoji117]Mange. Kumbe hadi nyoka_wazee mnakuwa wazito wa fikra hivyo. Ndo najifunza hilo
Yapo mambo ili uyaseme lazima ujitoe fahamu,maana kwa akili timamu huwezi kuyasema ;
Na ndomana wengi hutumia pombe kufikisha wanayotaka kusema kwa kuhofia lawama ,Ila akinywa hakuna wa kumlaumu zaidi lawama itapewa pombe,

Hata mange wengi wanamtumia kusema au kufichua mambo ambayo wao na akili zao timamu hawawezi,Ila kwavile wengi wanamuona kama chizi ila anafikisha ujumbe mwenye kuelewa ataelewa asotaka kuelewa basi ,
 
Usiseme ameudanganya umma sema amewadanganya wajinga wachache wanaomshobokea huko Instagram .

Mange kimambi ni mjinga kama wajinga wengne ambao wanapost picha za uchi za wapenzi wao mitandaoni .
 
Ukiona mtu anamchukia, anamtukana, anamshambulia Mange Kimambi, halafu kumbe hata hamjui, hamhusu . . , ujue huyo mtu akili zake haziko sawa . .
Na vitoto vingi humu JF ndio vinaingia kucheza ngoma visioijua . . Mnatuharibia sana JF . . , sasa pamekuwa hapa ni mahali pa umbea . . , propaganda za kitoto toto tuu . . Aghh . .
 
Mange mara nyingi huwa anakurupuka tu nimeshamfatilia mara kibao anawaletea nyumbu wake habari za uzushi then anazifuta..km jana amewambia manji alipofika central amepewa kiti then akachukua picha ya manji ya uwanja wa taifa anawaminisha nyumbu wake kuwa ni central..ukiwa mfuasi wa mange lazima ujitoe faham kidogo
 
mtu yeyote anaye kaamini haka kadada ni MPUMBAVU,,

OVA
Imagine kapost video inaonyesha shabiki wa yanga akifuta gari la manji skafu ya yanga na inaonekana lkn yeye anawaambia huyo mtu anafuta kwa kutumia skafu ya ccm..nao wakaamini....
kapost tena manji kaka kwa kiti inaonyesha kbs ni uwanjani lkn yy anawaambia kuwa kapewa kiti central akae....she is stypid anadanganya wajinga nao wanadanganyika kwa vitu vinavyo onekana..lkn kwakua ni misukule yake inamuamini wkt nao macho wanayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…